JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Watumiaji mbalimbali wa Mitandao hasa wa X (zamani Twitter) wameandika kuwa wanalazimika kutumia VPN ili kuendelea kupata uwezo wa kutumia Intaneti
NetBlocks imeeleza changamoto hiyo ya Mtandao inayoendelea inadaiwa pia kuathiri Nchi Jirani zikiwemo Uganda na Burundi, hali hiyo inadaiwa inaweza kupunguza utangazaji wa matukio ya maandamano yanayoendelea