Kwa mm naetumia halotel navoda hiko unachosema hakipo. Tokea mwanzo ungesema ni tigo wala nisingekuulizaKwa mfano tigo kwenye size yako tsh 2000 unapata GB 1 na dakika 90 siku 7, ipo namba 9, usidhani naandika hapa kujifurahisha naijuwa vizuri michezo ya kampuni za simu.
Kabla ya kuleta ligi za kijinga jipe muda wa kuzikaguwa menu zote za mtandao unaotumia.
Watu wengi wapo kimazoea akishanunuwa vocha anajiunga alivyozoea wakati hawa wahuni wa kampuni za simu vile vifurushi wanavihamisha hamisha kuwachanganya wateja.
Sio kila mwenye Tigo anapata ofa hiyoKwa mfano tigo kwenye size yako tsh 2000 unapata GB 1 na dakika 90 siku 7, ipo namba 9,
Mwanzoni kila kampuni ilijitahidi weka vitu bei ndogo ili wagombanie wateja, serikali ikaingilia kati ikaharibu kila kitu.Upo sahihi, mitandao ya mawasiliano kama ilivyo mafuta imekuwa sehemu ya kujikusanyia tozo kwa hii serikali ambayo inaamini katika kuendesha uchumi wa tozo.
Haitoshi20k
Voda unapata gb12 kwa mweziβ¦
Ni hatari sana!
Hiyo voda yako ni ya nchi gani?
Hicho ni kifurushi gan?Hiyo voda yako ni ya nchi gani?
24hrs gb6 kwa 20k π acha zako mkuu
Mine.. View attachment 2253463
Ni jimixie ndiyo.. Hiyo yako mkuu itakuwa ya Zimbambwe.Hicho ni kifurushi gan?
Hii Ni JIMIXIE Bundle
Kwa hiyo tuseme Kuna upigaji wa Chini chini.Ni jimixie ndiyo..
Hivi uko serious unapata gb6 kwa 20k? Khaaa πππKwa hiyo tuseme Kuna upigaji wa Chini chini.
Mana JIMIXIE ingetakiwa iwe gharama ni moja kwa kila mteja
Serious Boss , mi sitaniiHivi uko serious unapata gb6 kwa 20k? Khaaa πππ
Me hizo tu gb 12 kwa 20k naona bado wananiibia..
CCM ni mafiiiMimi mwanzo walikuwa wananipa kifurushi cha 4G GB 7 kwa wiki kwa elf 5, leo hii unapewa GB 3.3 pekee........wamefyeka GB 3.7 nzima lakini wanalamba buku 5 ileile.
Hivi vifurushi vilikuwepo zamani, Awamu ya 4 hukoo, awamu ya 5 vikawa vinashuka kila siku mpaka vikapingwa panga vyote.enzi za magu kulikua na night pack,toboa daah kwa bei ya 1500 tu unaseleleka mpaka asubuh
Post paid inakuaje kwenye tigo??Kama Lengo ni kupata GB nyingi
1. Hamia post paid kama unajiweza 25,000 unapata GB 30 ama wastani 15,000 unapata GB 3. Kwa Tigo.
2. Funga internet ya Nyumbani, Unlimited 4mbps TTCL ni 25,000 tu ipo mpaka mikoani, japo si maeneo yote, kama Huwezi ku Afford 25,000 changa na mwenzako.
Uni airtel ilikuwa gb 1,sms bila kikomo,dk 60 kwa masaa 24Kwa vile umedanganya
Lini GB 1ilikuwa 500??
Mie sina shida na mwendazake
Kwa mara ya kwanza unaenda Tigo wanakuunga, then kila mwezi unalipia mwenyewe kwa Tigopesa.Post paid inakuaje kwenye tigo??