Police wana uwezo wa kudetect uvunjifu wa amani iwapo vyama vya Upinzani wanataka kuitisha mikutano lakini mikusanyiko ya CCM na kwenye masoko hawawezi.
Miaka ya hivi karibuni masoko yamekuwa yakiungua mara kwa mara mfano Mwanjelwa Mbeya, Kariakoo, Karume n.k, lakini hutakuta wakitoa intejensia yao ya kuashiria hatari fulani inayoweza kutokea au kutoa elimu ya kiusalama maeneo hayo. Utakuta watu wajejazana masokoni, wakijiunganishia umeme wa majenereta bila hata elimu ya usalama.
Mitungi ya gesi inauzwa bila utaratibu maalum, wengine wanaitumia Mitungi kwenye majiko ya kukaangia Chips bila ya tahadhari yeyote n.k.
Polisi wamekariri siasa za Upinzani ndio zinavunja aman na usalama kumbe usalama wa raia ni zaidi ya kudhibiti vyama vya siasa.
Vyuo vya polisi inabidi wafundishwe namna ya kudhibiti na kudetect majanga kama ya Moto kwenye masoko na kutoa elimu kuliko kuelekeza mafunzo yao kudhibiti uhalifu na kudetect uvunjifuwa amani kwa wanasiasa hususan wa upinzani.
Miaka ya hivi karibuni masoko yamekuwa yakiungua mara kwa mara mfano Mwanjelwa Mbeya, Kariakoo, Karume n.k, lakini hutakuta wakitoa intejensia yao ya kuashiria hatari fulani inayoweza kutokea au kutoa elimu ya kiusalama maeneo hayo. Utakuta watu wajejazana masokoni, wakijiunganishia umeme wa majenereta bila hata elimu ya usalama.
Mitungi ya gesi inauzwa bila utaratibu maalum, wengine wanaitumia Mitungi kwenye majiko ya kukaangia Chips bila ya tahadhari yeyote n.k.
Polisi wamekariri siasa za Upinzani ndio zinavunja aman na usalama kumbe usalama wa raia ni zaidi ya kudhibiti vyama vya siasa.
Vyuo vya polisi inabidi wafundishwe namna ya kudhibiti na kudetect majanga kama ya Moto kwenye masoko na kutoa elimu kuliko kuelekeza mafunzo yao kudhibiti uhalifu na kudetect uvunjifuwa amani kwa wanasiasa hususan wa upinzani.