Intelijensia: Simba itatolewa kwa kulazimishwa suluhu

Mazembe hii inayomtegemea Thomas Ulimwengu...Corona imeziacha timu nyingi zikiwa za kawaida tatizo letu tumekariri majina ya timu

Sasa ngoja tuone Makundi. Hiki kikosi sikioni kikienda Robo Fainali. Timu vilaza ni tatu tu ikiwemo na Simba. Zilizobaki ni timu zenye uzoefu na Investment kubwa

Mazingira ya Mikia kutoka ni makubwa
 

Muda ndio Rafiki
 
Huyu shoga bado yupo kweli au ndo kashaenda kupika na kupakua Zimbabwe
 
...mkuu umetisha...

👊👊👊👊👊👊
 
Sasa ngoja tuone Makundi. Hiki kikosi sikioni kikienda Robo Fainali. Timu vilaza ni tatu tu ikiwemo na Simba. Zilizobaki ni timu zenye uzoefu na Investment kubwa

Mazingira ya Mikia kutoka ni makubwa
Tuliza mshono wanaume tuko kazini, tumeshawatupieni mbeleko hiyo na nyie mwakani mpande ndege.
 
Sasa ngoja tuone Makundi. Hiki kikosi sikioni kikienda Robo Fainali. Timu vilaza ni tatu tu ikiwemo na Simba. Zilizobaki ni timu zenye uzoefu na Investment kubwa

Mazingira ya Mikia kutoka ni makubwa
Haya umeingia kingi tena, Mazingira yapi ya kutoka ni makubwa kwa Simba??
 
Sasa ngoja tuone Makundi. Hiki kikosi sikioni kikienda Robo Fainali. Timu vilaza ni tatu tu ikiwemo na Simba. Zilizobaki ni timu zenye uzoefu na Investment kubwa

Mazingira ya Mikia kutoka ni makubwa
Aahaahhaha wewe ni Chikwende
 
Sasa ngoja tuone Makundi. Hiki kikosi sikioni kikienda Robo Fainali. Timu vilaza ni tatu tu ikiwemo na Simba. Zilizobaki ni timu zenye uzoefu na Investment kubwa

Mazingira ya Mikia kutoka ni makubwa
kwani malengo ya simba kwa mwaka huu unajua ni nini ?
 
Sasa wewe ni nani hadi tukutie aibu? Pambaneni na nyie muende, acha wivu utakuua
Tukutane kwenye makundi. Ndio safar yako ya mwisho. Hakuna kikosi hapo cha kucheza Makundi . Mnaenda kututia Aibu
 
Basi na wewe tumia hizo nguvu uone hata kama utachukua kombe la ligi, yaani bado hamjui propaganda za mpira hadi leo? Ase kweli bado mpo nyuma sana kimpira!! Mkija kujua propaganda sie tumeshachukua klabu bingwa Africa
Kwani mmeshinda kwa nguvu zenu. ?
 
Hebu rudia tena huu Utopolo wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…