Intelijensia: Simba itatolewa kwa kulazimishwa suluhu

Intelijensia: Simba itatolewa kwa kulazimishwa suluhu

Jamaa unahamisha magoli. Issue ilikuwa kumtoa Platinums, sasa unasema makundi Simba hatoboi.

Mara ya mwisho Yanga kushiriki makundi
Ni mwaka 1998
1) Nyerere alikuwa yuko hai.
2)Mkapa alikuwa yuko gado,ndo kwanza ana miaka 3 uongozini
3)kuzamia kwenda Sauzi ni dili
4)Majambazi yakivamia nyumba yanaiba TV
5)Facebook,instagram,Twitter, Jamii forums hazikuwepo.
6)Kuchaguliwa shule za serikali ilikuwa dili.
7)kumiliki simu kilikuwa kipimo cha utajiri
8)Kelvin John a.k.a Mbape,hajazaliwa
9)Chadema ilikuwa haijawahi kuweka mgombea wa urais hata mara moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Tukutane kwenye makundi. Ndio safar yako ya mwisho. Hakuna kikosi hapo cha kucheza Makundi . Mnaenda kututia Aibu
Aibu ya nini huku wewe Unacheza mapinduzi cup??
 
Ni vyema wanasimba wenzangu tukaanza kujiandaa kisaikolojia.

Intelijensia yetu imefanikiwa kufika hadi Hotelini na kufanya udadisi katika lugha ya ki ZIMBABWE [emoji1269] . Wachezaji wote wa Platnum wanataka kuandika Historia ya kuingia makundi kwa mwaka huu. Wamekuja kufanya DIE HARD GAME na kuhakikisha kwamba goli la kwanza linaingia kipindi cha kwanza.

Mchezo wao utakuwa ni kulinda na kufanya mashambulizi ya kustukiza kwa kusababisha

Safari ya SSC imefika ukingoni. Kwanza, mpaka sasa Simba haina First Eleven ya uhakika kama ilivyokuwa kwa Uchebe. Pili, wachezaji wa SSC hawana spirit ya ku fight uwanjani to the last blood hii imepelekea mara nyingi huanza kufungwa goli katika dakika za mwanzo kabisa na kupata kibarua cha kusawazisha dakika za mwisho mwisho za mchezo.

Ifahamike kwamba Simba haikuitoa Plateau kimpira, bali Plateau ilitoka kwa KARMA.

Ni uzembe kabisa kuamini kwamba Platnum atakuja Mkapa na kufungwa goli mbili; Platnum imekuja kusonga mbele na wachezaji wote wapo katika ari hiyo, pili hakuna kikosi cha Simba kitakachoweza kusababisha, yaani Watacheza cheza na pasi nyingi huku wakienjoi Biriani la Chama na mwisho wa siku watatolewa.

Wanasimba wenzangu huo ndio ukweli na tuanze kuuishi ili tarehe 6 tusisikie kuwa kuna watu WAMEKUFA au KUZIMIA. Tabia ya KUFA ni kwasababu watu huaminishwa upuuzi na MANARA. Mpira sio kelele na blah blah, mpira ni KAZI na kazi hiyo hufanyika uwanjani, sio kwenye mitandao au kwenye makusanyo ya waandishi wa Habari. Ni upuuzi.

Hatuna kikosi; hakuna kocha, hatuna wachezaji watakaoweza KUSABABISHA ila wapo wachezaji watakao cheza cheza pasi za kupoteza muda na biriani lisilokuwa na faida yoyote katika kusonga mbele.

Undondocha wa Mo uliotujaa na kushindwa kuuona ukweli kwamba Mo is BIG TIME na hana ishu. Inamaana Mo alikosa wachezaji Africa wenye QUALITY mpaka kwenda kumsajili mchezaji asie na nidhamu ambae wala hana Woow Factor kisa tu anatokea Yanga na alimtungua Garasa Manula .

Kulikuwa kuna haja gani kumchukua Kishingo; Kocha ambae hana background yoyote ya mpira na wala hakuna mahala kwamba ameshawahi kuchukua kombe lolote. Kishingo is a BIG TIME!

Kulikuwa na haja gani kwenda kuchukua wachezaji wa brazil waliokuwa wanacheza mechi za mchangani. Ina maana Africa hakuna wachezaji wenye viwango alivyovitaka? Haya yote ameyafanya bila ya kushirikisha technical Support. Yeye ndiyo Tajiri, yeye ndiyo kocha, yeye ndiyo mwenyekiti na yeye ndiyo anaiua timu na mipango yake HEWA.

Timu inatumika Kibiashara; inatumia muda mwingi kujitangaza badala ya kutumia muda mwingi kuunda kikosi chenye tija kwa michuano ya KIMATAIFA. Sasa MSIBA umeshakuja na kwa hakika SSC inatolewa kupitia DURU za KI-INTELIJENSIA.

MPIRA sio dua, mpira ni uwanjani na safari ya matumaini kwa kikosi kipana itaishia hapo.

Mark My Words
Waambie Mods wafute huu uchawi wako
 
Tukutane kwenye makundi. Ndio safar yako ya mwisho. Hakuna kikosi hapo cha kucheza Makundi . Mnaenda kututia Aibu

Mwanaintelligensia uchwara katika ubora wako!
Yaani nyie utopolo kwa nini mmefura hivyo lakini?
Msimu ule Simba ilipofika robo fainali, watu waliiponda kuwa kwenye makundi haitofika popote, nadhani kilichobakia ni historia hivi sasa!
Msimu huu kabla ya mechi na platnum mkaleta uchambuzi wenu uchwara na utabiri wa kitopolo mlivyo utopolo,kwamba sijui hamna beki, mara bila mkude simba haitatoboa, na drama kibao kilichotokea pale kwa Mkapa hamuamini, mnabaki kusema mara sijui ni mazingaumbwe n.k! Yaani visababu hiviishi!
Sasa simba imeingia makundi, mmeanza oo, haifiki popote sijui beki mbovu, na blah blah kibao!
Kama mlivyoichawia kabla, ndivyo mtabaki tena midomo wazi!
Hamtaamini, mtakachokiona kwenye makundi, sijui nyuso zenu mtaficha wapi!

Na sijui zikipatikana nafasi nne, nyie utopolo sijui mtagoma...!?!!
 
Ni vyema wanasimba wenzangu tukaanza kujiandaa kisaikolojia.

Intelijensia yetu imefanikiwa kufika hadi Hotelini na kufanya udadisi katika lugha ya ki ZIMBABWE [emoji1269] . Wachezaji wote wa Platnum wanataka kuandika Historia ya kuingia makundi kwa mwaka huu. Wamekuja kufanya DIE HARD GAME na kuhakikisha kwamba goli la kwanza linaingia kipindi cha kwanza.

Mchezo wao utakuwa ni kulinda na kufanya mashambulizi ya kustukiza kwa kusababisha

Safari ya SSC imefika ukingoni. Kwanza, mpaka sasa Simba haina First Eleven ya uhakika kama ilivyokuwa kwa Uchebe. Pili, wachezaji wa SSC hawana spirit ya ku fight uwanjani to the last blood hii imepelekea mara nyingi huanza kufungwa goli katika dakika za mwanzo kabisa na kupata kibarua cha kusawazisha dakika za mwisho mwisho za mchezo.

Ifahamike kwamba Simba haikuitoa Plateau kimpira, bali Plateau ilitoka kwa KARMA.

Ni uzembe kabisa kuamini kwamba Platnum atakuja Mkapa na kufungwa goli mbili; Platnum imekuja kusonga mbele na wachezaji wote wapo katika ari hiyo, pili hakuna kikosi cha Simba kitakachoweza kusababisha, yaani Watacheza cheza na pasi nyingi huku wakienjoi Biriani la Chama na mwisho wa siku watatolewa.

Wanasimba wenzangu huo ndio ukweli na tuanze kuuishi ili tarehe 6 tusisikie kuwa kuna watu WAMEKUFA au KUZIMIA. Tabia ya KUFA ni kwasababu watu huaminishwa upuuzi na MANARA. Mpira sio kelele na blah blah, mpira ni KAZI na kazi hiyo hufanyika uwanjani, sio kwenye mitandao au kwenye makusanyo ya waandishi wa Habari. Ni upuuzi.

Hatuna kikosi; hakuna kocha, hatuna wachezaji watakaoweza KUSABABISHA ila wapo wachezaji watakao cheza cheza pasi za kupoteza muda na biriani lisilokuwa na faida yoyote katika kusonga mbele.

Undondocha wa Mo uliotujaa na kushindwa kuuona ukweli kwamba Mo is BIG TIME na hana ishu. Inamaana Mo alikosa wachezaji Africa wenye QUALITY mpaka kwenda kumsajili mchezaji asie na nidhamu ambae wala hana Woow Factor kisa tu anatokea Yanga na alimtungua Garasa Manula .

Kulikuwa kuna haja gani kumchukua Kishingo; Kocha ambae hana background yoyote ya mpira na wala hakuna mahala kwamba ameshawahi kuchukua kombe lolote. Kishingo is a BIG TIME!

Kulikuwa na haja gani kwenda kuchukua wachezaji wa brazil waliokuwa wanacheza mechi za mchangani. Ina maana Africa hakuna wachezaji wenye viwango alivyovitaka? Haya yote ameyafanya bila ya kushirikisha technical Support. Yeye ndiyo Tajiri, yeye ndiyo kocha, yeye ndiyo mwenyekiti na yeye ndiyo anaiua timu na mipango yake HEWA.

Timu inatumika Kibiashara; inatumia muda mwingi kujitangaza badala ya kutumia muda mwingi kuunda kikosi chenye tija kwa michuano ya KIMATAIFA. Sasa MSIBA umeshakuja na kwa hakika SSC inatolewa kupitia DURU za KI-INTELIJENSIA.

MPIRA sio dua, mpira ni uwanjani na safari ya matumaini kwa kikosi kipana itaishia hapo.

Mark My Words
Kafie mbali na post yako na roho mbaya zenu mikosi iwe yako kuiombea,simba vibaya.
 
Nasema kwamba mtakuka KHAMSA MECHI ZOTE
Yes... Tutatukuka kwa kupiga watu khamsa khamsa... Au 4G... Kama tulivyofanya kwa Platinum na Yanga... Hawa tuliwapiga NNE NNE.....
 
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
Hata mwanzo mlisema hivyo kwamba hatutafika makundi ila tumefika. Nyie endeleeni kubadilisha magoli kadri tunavyosonga mbele.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Intelijensia ya uto bana nyie wanoko ndio huwa mnapigwa na mayai viza mitaani.
 
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
Beki ambazo haijaruhusu goli nyingi VPL ni IPI? Simba kwenye mechi NNE za CAF imeruhusu goli mojo, unasema beki mbovu
 
Great Mikia for the Good Fight . But bado hamna kikosi cha maana. Sidhani kama hiki kikosi kitawapeleka robo fainali. Mtaishia katikati Tu . Sijaona kama mna Beki ya kucheza As Vita , TP Mazembe et etc
Wao wana beki ya kucheza vs Simba?

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
IMG-20210107-WA0040.jpg


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Aibu ya nini huku wewe Unacheza mapinduzi cup??
Kumbe ameingia makundi ya Mapinduzi Cup....!
Ndio anajidai namna hii....!

Na mechi ya kwanza katoa sare na timu ambayo sikumbuki jina lake ya huko Zanzibar.
 
Back
Top Bottom