Intelijensia ya CHADEMA imenasa njama za Kumdhuru Mbunge Lema

Intelijensia ya CHADEMA imenasa njama za Kumdhuru Mbunge Lema

Status
Not open for further replies.

Mungi

JF Gold Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
16,973
Reaction score
9,572
Wana Jf,

Imegundulika kuwa kuna mkakati mbaya unaofanywa na ccm na serikali yake kumdhuru Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
Intelijensia ya Chadema imefanikiwa kunasa taarifa ya kumwua mbunge Lema au ikishindikana kabisa atafutiwe kesi ambayo hataweza kupata dhamana, mfano ugaidi, uhaini au murder.

Mkakati mzima unaratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ambaye anaonekana kuwa na back up ya watawala.

Mnyetishaji amedokeza kuwa kuna maaskari kutoka nje ya Arusha kwa ajili ya kazi hiyo maalum ya kudhulumu maisha ya watetezi wa haki na utu. Inasemekana Askari polisi wengi wa hapa Arusha wamejitambua na wanaonekana wengi wao hawapo tayari kudhulumu maisha ya watu wasio na hatia, kitendo kinachowafanya serikali ya ccm kukodi polisi kutoka mikoa mingine.

Habari zisizo rasmi zinasema kuna jwtz wamevalishwa nguo za ffu kufanya special duty ya kumshughulikia Lema.

Ikumbukwe Godbless Lema ameonekana kuwa Mwiba kwa ccm na serikali yake, baada ya kuizika ccm kwa hapa Arusha na kuwajengea ari vijana kujitambua.

CHADEMA ipo imara, na haitaogopeshwa na njama zozote za ccm. Wamedhiriki kuigeuza kesi ya jinai (penal code) kuwa ugaidi, wakidhani watafanikiwa, kumbe wanajizika wenyewe!!!

Source: Intelijensia ya chadema, kwa uthibitisho kamanda Lema kesho atazungumza na waandishi wa habari!!!

Tulianza na Mungu, tunaendelea kuwa na Mungu na Tutamaliza na Mungu!!
 
CROCODILE TEAR, LEMA IS A GONE CASE, HE WILL BE A ONE TERM MP PERIOD. ONCE A THIEF ALWAYS A THIEF....:A S thumbs_down:
 
yetu macho na mackio yatesemwa mengi na kutafuta njia zote maamuzi tunayo cc wenyewe wananchi.
 
Watashindana lakini hawatawashinda, kamwe Mungu hajawahishindwa na nguvu za shetani.
 
mwiba mchungu kwa CCM, Lema pia yumo, kwa kumzima kwa staili hiyo watajikuta wanazidi kumpandisha chat tu Lema.
 
CROCODILE TEAR, LEMA IS A GONE CASE, HE WILL BE A ONE TERM MP PERIOD. ONCE A THIEF ALWAYS A THIEF....:A S thumbs_down:

CCM kwa hapa Arusha watahangaika sana, lakini nakihikikishia kuwa CHADEMA watashinda njama zote mbaya dhidi ya ccm, na watashinda zaidi ya kushinda!!!
 
Masisiem mbinu hizi za kishetani ni laans kwenu na ikumbukwe hamtafanikiwa kwa hili na Mungu yupo pamoja na kiumbe wake mh Lema na chadema kwa ujumla....
 
Yule mkuu wa Mkoa wa Arusha ni kundi la Membe, Mwigulu na Nape ambao wanaeneza siasa za kinyama na mauaji. Membe amewatoa watu wake kafara, amepeleka JWTZ na kufanya mambo ya kinyama lwa watu waliosahauliwa kwa muda mrefu. Membe amesahau wapiga kura wake, hawatakiwi katika kila kona ya miji, lakini yeye ni Urais. Mulugo na Mwigulu ndio waasisi wa bomu la Arusha, Damu ya watu haimwagiki bure
 
WanaJF,

Habari hii ichukuliwe kwa uzito.

Muda huu kikao cha kifedhuli kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha cha kummaliza Godbless Lema kimemalizika.Lengo kuu la kikao hiki ni kumhusisha Lema na Mlipuko wa Bomu uliotokea katika mkutano wa CHADEMA Arusha .Kwa taaarifa nyeti na za uhakika kikao hiki kilianza saa 5 hadi saa 9 alasiri leo hii na kilifanyika katika ofisi ya mkuu wa mKoa.Waliohudhuria ni watu wafuatao

-Mkuu wa Mkoa Wa Arusha
-Kamanda wa Polisi wa mkoa
-Wakuu wa Idara ya upelelezi wa mkoa
-Maofisa wa jeshi la Polisi na wa serikali

Baadhi ya maofisa usalama waaminifu wameamua kutoa taarifa hizi na kufichua mipango ya kutaka kumbambikizia kesi Mhe.lema kwa Lengo la kumlisha Sumu ikiwa atakamatwa baada ya kubambikiziwa kesi
MY TAKE:
-Watanzania tunaelekea wapi katika haya tunayoyafanya?Sasa ni bora wananchi wakajua kinachoendelea.Ushahidi mzito zaidi kuhusu hili utatatolewa
 
Mbinu zote wanazopanga watashindwa. Hswatskubali wanashindwa watafsnya mengi kujionyesha bado wapo lakini kila hatua wanayopanga kujikwamua kwa njia za haramu watakuwa wanaharibu na kuachia madaraka mchana kweupe.
CCM inashuka toka mlimani ni jiwe zito lisikoweza kupandishwa tena juu. Watajimaliza wenyewe wskati wakijaribu kulipandisha hilo jiwe. Werevu wakae pembeni. Wajinga wajipange kufyrkwa na hilo jiee linaloporomoshwa toka juu na CDM.
 
-Kikao kilifanyika hadi saa 9 na kisha baadae wakaingia kwenye kikao kingine cha majadiliano hadi usiku huu
 
Ila CDM INAKABA HADI RAHA ....pamoja na changa-moto
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom