Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
-Kikao kilifanyika hadi saa 9 na kisha baadae wakaingia kwenye kikao kingine cha majadiliano hadi usiku huu
Iko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines
Iko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines
tembea wewe upate headline, nyie magamba ipo siku 1!! Mtalia nakusaga menoiko siku lema atatembea uchi ili apate headlines
Iko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines
Umkomi nano puu.Iko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines
Kama ulivyomshauri hawara yako ajitangaze kuwa amefanyiwa jaribio la kubakwa na LemaIko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines
Akili fupi, isiyofikiria future ya taifa utaiona tu! Watu wengine ni kama hamkuumbiwa aibu; nafsi zenu zimekufa hata hamjitambui tena. Kama usingeiruhusu akili yako kuongozwa na tumbo katika kufikiria, ingekuwa ni vigumu sana kuandika ujinga uliouandika hapo juu; unachokiwaza wewe ni mustakabali wa tumbo lako- pasipo kujali kabisa taifa lako linaathirika kiasi gani kwa manufaa yako binafsi, na kwa kuwa akili yako ni fupi, basi huoni hatari iliyo mbele ya taifa lako, lakini pia na kwako binafsi na ukoo wenu. Na, kwa kuwa nafsi yako imekufa siku nyingi kwa sababu ya ubinafsi ulionao, basi hata haya niliyoyaandika wayaona ni upuuzi mtupu. Hufanyi jambo ambalo halitakutambulisha wewe binafsi, na kwa kuwa tabia hii imekomaa kwako, basi wahisi kuwa ati kila mtu yu kama wewe. Wakati mwingine ni heri muwe mnakaa kimya tu; maana kwa kutuandikia upuuzi wa namna hii, mnazidi kudhihirisha ni namna gani msivyo na maono yoyote juu ya mustakabali wa taifa letu. Kwa unafiki mkubwa kiasi hiki mlionao, hata familia zenu sijui mnaziongozaje.Iko siku Lema atatembea uchi ili apate headlines