Intelijensia ya Viongozi wa Simba SC ingekuwa imara ingeshalijua hili mapema na kuliwahi

Shida kubwa ya Yanga ilikuwa ni kukos pesa za kutosha.
Ilifikia hatua, Zahera anawapa posho wachezaji.

Simba shida ni viongozi walafi, waongo na hawana weledi wa kuongoza.
 
mbona huyo tajiri ndiye anayataka simba ifungwe ili kina mangungu wangoke aweka mtu au watu wake watakaojali maslahi yake?
 
Shida kubwa ya Yanga ilikuwa ni kukos pesa za kutosha.
Ilifikia hatua, Zahera anawapa posho wachezaji.

Simba shida ni viongozi walafi, waongo na hawana weledi wa kuongoza.
Mashabiki wa simba tushikilie kutokwenda uwanjani na hata kutonunua bidhaa zao kama jezi ili akili ziwaingie.

Simba tunapata fedha nyingi sana,ila kuna upigaji,sasa na sisi tukaushe kila mtu apambane na hali yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…