Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
HayaweziYamekimbia mada😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HayaweziYamekimbia mada😂
Hahahahahaa!Kuhusu barua TAL aliandika barua mbili moja yenye nia ya kugombea urais 2025 na nyungine umakamo uwenyekiti na hizo zote ni barua za mwezi wa nane. Inshort TAL amebadilika saiv kutaka uenyekiti kama ulikua hujui. Mambo unayoyasema hayaitaji intelijensia ni mambo ya wazi. Uzi wako ni nonsense
Chama kubwa lakini si chama bora, kwenye ulimwengu wa digital sifa ni ubora na ufanisi na sio ukubwa. Kwenye analogia sifa ni ukubwa na mabavu. Kwa maneno marahisi ccm ni chama analogia zama hizi za digital.CCM HAIWEZI KUWA NA INTELIJENSIA HAFIFU. ACHENI KUJIDANGANYA. MNAANZISHA MAMBO WENYEWE NA KUYASPIN WENYEWE.
CCM CHAMA KUBWA
Ccm inajiimarisha au inajishikiza kwenye vyombo vya dola? Ni kweli ccm itakaa madarakani, lakini sio ccm kama chama chenye ushawishi wa kisiasa, bali chama kinachokaa madarakani kwa mbeleko ya vyombo vya dola. Siku itakosa mbeleko ya vyombo vya dola ndio itakuwa mwisho wake.Ndiyo shida yenu Chadema
Yaani badala mrekebishe panapovuja kila mtu anaona nyie mmekazana na ya hao CCM ambao wanazidi kujiimarisha .
CCM mpaka 2090 kwa mtindo huu wa kijinga wa Chadema mnatuangusha
Kwani machawa wa mbowe wanasemaje?Imagine mpaka leo hii ccm wameshindwa kabisa kujua chanzo cha mapato kilichogharamia press conference ya TAL pale mlimani city.. Sasa wamebaki kuzushazusha tuu.. Mara eti mchungwaji Peter Msiigwa ndio kagharamia🤣🤣🤣
Mara Lissu kachangisha mwenyewe nknk
Iteligensia ya CCM pia imeshindwa kabisa kabisa kung'amua kwamba Lissu aliwasilisha barua ya kutoa taarifa kwa katibu mkuu nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti tangu mwezi wa nane
Inteligensia ya ccm ikashindwa kabisa pia kung'amua muktadha wa press conference ya Lissu ya Tarehe 12.12.2024.. Maana siku moja kabla ya PC hiyo ramli chonganishi zilikuwa nyingi sana toka chawa wa ccm.. Siku hizi LMb7 ilishakufa ikazikwa kitambo kabisa
Mada za kizushi zilikuwa nyingi sana.. Na zote zikafemea😂
Imagine watu wametoka mikoani na mabango yao.. Lakini intelligence makini ya chama chawala haikuambua kitu
CHADEMA ipewe maua yake kwenye hili.. Ina mipango ina mikakati ina utunzaji wa 'classified information' ulinyooka sana
Hizi post mpya za kuhoji gharama za kukodi ukumbi na maandalizi yake yote ni machweo ya jua lililotegemewa kuunguza kila kilichotakiwa kuungua🤣
Intelligence ya CCM ilipatia sehemu moja tu pale walipojua Basi alilopanda Marehemu Mzee Ally Kibao, na kumshusha na kwenda kumuua.
Halafu wanajifanya kuchunguza na kutuma Rambirambi.
Nimemuelewa sana Lissu kwenye hii Speech.
View: https://www.youtube.com/live/4mw-s1nXCDc?si=Z3wqMWTcz4FYxfmg
Kwamba they”wa defeated?2025 ni uchaguzi mkuu.
CCM imelenga kujiimarisha kwa kutafuta wanachama wengi zaidi. Nimeona wakihimiza uandikishwaji wa wanachama wapya.
Chadema ndiyo kuna mtu anaitisha press conference kuazimia kugombea uenyekiti. Online wanachama wake wako busy kubishana nani anafaa kua mwenyekiti. Notable party members same route.
No one discusses the humiliating defeat kwenye chaguzi za mwezi tu uliopita.
Acting like hawajui mwakani kuna nini kitakua
As far as am aware.Kwamba they”wa defeated?
Please stop y’all!
Ni kusanyiko la wajinga haswaMajungu fitina na undumilakuwili
Nani kakwambia ni marufuku wanachama kutoa mitazamo yao ndani ya CHADEMA? CCM mtu akifanya hivyo mnammalizaIntelligence ya CCM ilishaona mgogoro wenu. Na leo Mbowe kupitia chawa Yericko Nyerere kamchana Lissu.
LGE2024 - Amos Makalla: Kuna mgogoro mkubwa unakuja ndani ya CHADEMA
Amos Makalla amewataka CHADEMA wamalize migogoro ndani ya chama chao na wasiwahadae Watanzania kwa kuwasingizia TAMISEMI, na kuwalaumu Chama cha Mapinduzi (CCM) bali wajilaumu wao wenyewe, wasifiche mgogoro na mpasuko mkubwa uliowafanya wakose maandalizi yakutosha. Aidha, ameongeza kuwa...www.jamiiforums.com