Intelligensia juu ya Mabomu ya Arusha

Intelligensia juu ya Mabomu ya Arusha

Hapana hakuna kuuliza police wakishirikiana na chemba walilipua mabomu olasiti na mkutano wa chadema, hata kikwete analijua hilo ndo maana hatak kuunda tumehuru ya majaji!!

aliyelipua mabomu ni lema na mbowe ili wapate kura za huruma
 
Amani ya nchi hii imeharibiwa na cdm

Ww ifeero kwl, chadema ndo serikal ya tanzania? Kama rais wako anashindwa kujitambua kama kuwa ni rais ndo maana anacheka cheka tu, mmeshindwa kuongoza nchii hii mnasingizia vyama vya upinzani, kama mmeshindwa token madarakan muwape chadema kama mtaona matukio kama haya, maana mmeongeze miaka 50 hakuna la maana, mnabak kusema chadema, kwan chadema iliwah kushika nchi?
Kama rais anashindwa kutoa matamko hd asubir wanaNep na chamba watoe sasa huyu kikwete ni rais au makapi ya rais???????ebooooo
 
Mtapigwa na kuangamizwa na adui aliyeko nyumbani kwenu!sote tunashangaa hawa waislam ambao kila rabsha ni wao hapa Tanzania.Hawana lugha na matendo yenye kutabua sheria za nchi ,rejea matukio yote kuaqnzia ya uvunjaji wa mabucha ya nguruwe,uchomaji moto makanisa,ulipuaji wa mabomu,ulengaji wa mapadri hasa kule zanzibar,vurugu za mbagala.Tuliona jinsi watu walivyogomea sensa ambayo ilikuwa ni zoezi muhimu ya kitaifa,swali hapa ni kwanini haya yanatokea?.Karibu viongozi wote wakuu ktk nchi nchi hii kwa muongo ni waislam,je watakapo kuwa wakristo itakuwaje?.
 
Waliokamatwa ni vijana wa kiislam ambao walishawahi kusafiri kwenda yemen ndicho kigezo polisi walichotumia

Kwenda yemen tu ? basi hapo ndio juu nikasoma ukifundishwa kupambana ugaidi na usa basi chuki yako inakua dhidi ya uislam tu.
yemen wanakwenda wengi kujifunza lugha na dini.
mimi nawajua rafiki wa karibu wa kikwete wamepeleka watoto wao kusoma huko? jee ni wakirudi ni magaidi?
kuna kijana mmoja alikua ameshinda kwao kwa uhuni kuvuta weed na unga hakutaka kusoma kabisa japo familia yao ni wasomi.
alipelekwa yemen kusoma dini amekaa miaka miwili amerudi mpya kabisa ameacha mambo yote ya kihuni na weed
hii kuonesh yemen sio ugaidi tu.
hawa usa wana ichukiayemen kijinga jinga tu kwa vile kuna watu wanaenda huko kusoma na kwa sababu puppet wao ali saleh alipinduliwa na arab spring.
mbona hawachukii Saudia? kuna wanafunzi zaidi ya 50,000 wa kisaudia wanasoma marekani.
na ukiangalia story ya sept 11 waloshiriki kwa stori za marekani ni wasaudia watupu..hamna myemen hata mmoja wala mafghanistan
 
Kwenda yemen tu ? basi hapo ndio juu nikasoma ukifundishwa kupambana ugaidi na usa basi chuki yako inakua dhidi ya uislam tu.
yemen wanakwenda wengi kujifunza lugha na dini.
mimi nawajua rafiki wa karibu wa kikwete wamepeleka watoto wao kusoma huko? jee ni wakirudi ni magaidi?
kuna kijana mmoja alikua ameshinda kwao kwa uhuni kuvuta weed na unga hakutaka kusoma kabisa japo familia yao ni wasomi.
alipelekwa yemen kusoma dini amekaa miaka miwili amerudi mpya kabisa ameacha mambo yote ya kihuni na weed
hii kuonesh yemen sio ugaidi tu.
hawa usa wana ichukiayemen kijinga jinga tu kwa vile kuna watu wanaenda huko kusoma na kwa sababu puppet wao ali saleh alipinduliwa na arab spring.
mbona hawachukii Saudia? kuna wanafunzi zaidi ya 50,000 wa kisaudia wanasoma marekani.
na ukiangalia story ya sept 11 waloshiriki kwa stori za marekani ni wasaudia watupu..hamna myemen hata mmoja wala mafghanistan

Uislam unapigwa vita kila kona mji wa BANGUI CAR hauna muislam hata mmoja kwa sasa,haya tena vita ya kulazimishwa mambo ya kishetani kama ndoa za jinsia moja etc
 
mwanzo nilikua nadhani mabomu yale ni siasa au dini. Kwa sasa nimeamini si chadema si ccm si wa kristo wala si waislamu wanaohusika na mabomu haya. Ni njama za jirani zetu. Jiulizeni kwa nini mabomu hayalipuki Sumbawanga au Songea? Ni Zanzbar na Arusha tu!
HAHAHAHA wewe utakua CCM,unajiuliza tena unajibu,Arusha na Zanzibar ndio maeneo yaliyo tishio kwa CCM,wazanzibari wanataka kujitenga,Arusha ndio chimbuko la upinzani wenye kuitikisa CCM sasa unataka kugeuza ukweli,ndugu yangu ukweli ndiyo huo.
 
Naomba mnisamehe kwa kuwa nadokeza umbea wenye ukweli.
Kwamba siku za milipuko ya bomu darajani Zanzibar siku chache silizopita, siku hizo walikuwepo Wakenya waliofanana na watu wa Usalama na walikaa katika mahoteli maeneo hayo ya Dajani.
Nadokeza tu.

Kwani watu wa usalama wanafananaje sasa?!!
 
Upeo duni kabisa na fikra hafifu......hivi unaposema kenya wanahusika na mabomu unamaanisha kenya kama kenya nchi ndio imeleta watu kulipua mabomu. Au unamaanisha wakenya yaani wafanyabiashara binafsi wameamua kupiga mabomu? ............hebu jaribu kufikiria zaidi hivi serikali ya kenya inaweza kutuma mtu au kutuma usalama wao kurusha vibomu na bodaboda......wa tz tuache kujitia aibu na mawazo duni

sasa kama ni covert operation ulitaka waje na vifaru?!! kwani mossad walimuua mwanasayansi wa nyuklia wa Iran kwa magnetic bomb wakiwa kwenye nini kama si bodaboda?!!
 
Kwa Upeo wangu Mdogo Nahisi Kenya Inahusika,kwann,? kenya kwao kumechacha na Al Shabab, na watalii wanakimbia. Na Arusha ni kitovu cha utalii,wadau mpaka hapo hamjapata picha hapo. wanatulipua ili watalii na huku waogope kuja ili iwe ngoma droo.
 
Mkuu Tety, Rais wetu Dr.Dr. Dr. Dhaifu katika kuhakikisha polisi wa Tz. wasiolipwa vizuri, wanailinda ccm kwa nguvu zote. Amechilia Karibu kila polisi wa Tz. ajipandishie mshahara wake kwa kutwa kucha, kuwatafutia raia makosa ya kuwadai rushwa. Kwa sasa hakuna polisi anayefanya kazi kwa weledi bali wanafanya kazi kiccm, ccm. Acha mabom yaendelee kutularua pengine yatatuamsha waTz. kadia tuwe na jeshi la polisi linalofanya kazi kwa weredi.

Tatizo kubwa RAIS wetu alitaka URAIS kwa sababu ya kuongeza CV yake na yeye asomeke siku moja aliwahi kuwa RAIS wa nchi fulani ya waliokuwa wamelala wakati wananichagua kuwa RAIS wao.Nina uhakika akikaa nyumbani na familia yake anatucheka sana maana za kuambiwa na Nyerere hatukuchanganya na za kwetu.
 
Tatizo la mabomu halihusiani na udhaifu wa serikali, kwani mabomu yanalipuliwa hata Marekani, Uingereza na kwingineko ambako usalama ni imara, usipotoshe hoja ya mtoa mada

Sijapotosha nimeongea kilicho ndani ya akili na moyo wangu.Enzi za Nyerere Usalama wa Taifa ulikuwa very sensitive kuliko leo hii ambapo wako kwenye mapambano na vyama vya upinzani badala ya USALAMA wa nchi yetu.
 
Ww ifeero kwl, chadema ndo serikal ya tanzania? Kama rais wako anashindwa kujitambua kama kuwa ni rais ndo maana anacheka cheka tu, mmeshindwa kuongoza nchii hii mnasingizia vyama vya upinzani, kama mmeshindwa token madarakan muwape chadema kama mtaona matukio kama haya, maana mmeongeze miaka 50 hakuna la maana, mnabak kusema chadema, kwan chadema iliwah kushika nchi?
Kama rais anashindwa kutoa matamko hd asubir wanaNep na chamba watoe sasa huyu kikwete ni rais au makapi ya rais???????ebooooo

Kwani Mhe Rais kucheka ndio kushindwa kuiongoza nchi! Hebu tuliza akili, kwani huyo Slaa na Mbowe wanavoongea kwa jazba na kutokwa povu ndio uwezo wa kuongoza nchi! Upuuzi mtupu!
 
Mpaka hapo walipuaji wameshatuteka tayari. Hatuelewi kipi ni kipi na inawezekana hata hawa wanaopost story tofauti tofauti humu wanatekeleza mipango yao ya kuzingua jamii. Ila TISS ilikufa na Baba yake JK Nyerere. Kw aheri baba...!
 
Mpaka hapo walipuaji wameshatuteka tayari. Hatuelewi kipi ni kipi na inawezekana hata hawa wanaopost story tofauti tofauti humu wanatekeleza mipango yao ya kuzingua jamii. Ila TISS ilikufa na Baba yake JK Nyerere. Kw aheri baba...!
ipo ya kung'oa meno, kucha, kutoboa macho na kumwaga tindikali na kwa karibu sana ikiratibu miradi endelevu ya vilipuzi.
 
Kwa Upeo wangu Mdogo Nahisi Kenya Inahusika,kwann,? kenya kwao kumechacha na Al Shabab, na watalii wanakimbia. Na Arusha ni kitovu cha utalii,wadau mpaka hapo hamjapata picha hapo. wanatulipua ili watalii na huku waogope kuja ili iwe ngoma droo.
milipuko ilianza kabla kenya haijachafuka hivyo hii ni miradi endelevu ya ccm
 
Back
Top Bottom