Interesting that Uganda has more road network than Tz;yet Tz is almost 4 times bigger

Barabara za Uganda ni za Hali ya juu hata mji mkuu wa Dar es Sluum hauna Kama zile. babayao255 weka Barabara za Tz za hadhi Kama au kuliko za Uganda 😂😂😂😂
 
Watoto na Vilaza wanaongezeka Jf
Ama kweli nyimwa vyote Usinyimwe Chakula
Ona sasa njaa inatuletea Vilaza JF
Ubaya wenu nyinyi Midanganyika ni kwamba mkiambiwa ukweli mnaanza matusi. You think that Tanzania is heaven on earth that can't lack anything. Mnatia huruma kweli
 
Izo barabara zilizoainishwa Ni zile zenye umuhimu zaidi japo mtandao unaweza kuongezwa kulingana na hali...kua na mtandao mkubwa haimaanishi kwamba ndio mko vizur...sasa apo Uganda siku wakiweza kuziweka barabara zao kiwango cha lami kwa sehemu tuliofikia sisi mje hapa
Nna uhakika hawajafika 14000km zilizowekwa lami zinzopitika muda wowote...

Mtandao mkubwa on ground Ni vumbi tupu na mashimo haisaidii lolote
 
Barabara za lami Tz zinaweza kutandazwa kenya na Uganda pote kwa pamoja.
Barabara za Uganda ni za Hali ya juu hata mji mkuu wa Dar es Sluum hauna Kama zile. babayao255 weka Barabara za Tz za hadhi Kama au kuliko za Uganda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mkenya mwenzao alipiga root ya kenya adi south, aka admit jinsi gani kafurahishwa na barabara za Tz from the start to the end, from town to rurals. Mayb hzo chanel zinahusisha hadi vichochoro ndo walipo tuzidi
 
Dunder head how is this related to the topic.. A condom could have saved us such foolish Tanzanians.
Watoto na Vilaza wanaongezeka Jf
Ama kweli nyimwa vyote Usinyimwe Chakula
Ona sasa njaa inatuletea Vilaza JF
 
We talking about road network it's surprising that Uganda has more roads than you.
Kuna mkenya mwenzao alipiga root ya kenya adi south, aka admit jinsi gani kafurahishwa na barabara za Tz from the start to the end, from town to rurals. Mayb hzo chanel zinahusisha hadi vichochoro ndo walipo tuzidi
 
Barabara za lami Tz zinaweza kutandazwa kenya na Uganda pote kwa pamoja.
Bajeti ya Kenya inaweza kutumiwa kuziendesha Tz na Uganda kwa pamoja ...and then some.

Hivi karibuni Uganda itawafikia kifedha .
 
Ubaya wenu nyinyi Midanganyika ni kwamba mkiambiwa ukweli mnaanza matusi. You think that Tanzania is heaven on earth that can't lack anything. Mnatia huruma kweli
More like hell on earth ndio unaona waTanzania wengi omba omba wamejaa Nairobi ,drug lord wa Tz wamejaa South Africana ndege zao zinakamatwa kote duniani.
 
Ndege imerudi kitambo sijui mtashangilia nini tena
Failed state ninyi [emoji23][emoji23][emoji23]
More like hell on earth ndio unaona waTanzania wengi omba omba wamejaa Nairobi ,drug lord wa Tz wamejaa South Africana ndege zao zinakamatwa kote duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…