Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Mwekezaji kabla ya kuwekeza Tanzania anatakiwa kufanya yafuatayo.
1.Kufungua Company Tanzania na kupata vibali Vyote vya kikodi hapa Tanzania
2. Alipe TRA provisions Tax kutokana na mradi wake.
3.Leseni za biashara.
4.Alipe kodi za Pango na VAT
5.Kodi za zuio la pango
6.Usajili TIC
7.Kodi za mitambo na usafirishaji.
8.kodi ya mapato na VAT.
9.Service Levy.
10.Umeme, Zima moto, nssf, nhif, osha, maji na nk
12....
Mwekezaji akitaka kuvuka hivyo Vyote anzaa na IGA. IGA inenda bungeni then inasajili mkataba. Kodi zote ni mazungumzo baada ya hapo. Hakuna mbwa yoyote anakuja kuuliza kitu.
Haya ni mazo yako kama nionavyo.
1.Kufungua Company Tanzania na kupata vibali Vyote vya kikodi hapa Tanzania
2. Alipe TRA provisions Tax kutokana na mradi wake.
3.Leseni za biashara.
4.Alipe kodi za Pango na VAT
5.Kodi za zuio la pango
6.Usajili TIC
7.Kodi za mitambo na usafirishaji.
8.kodi ya mapato na VAT.
9.Service Levy.
10.Umeme, Zima moto, nssf, nhif, osha, maji na nk
12....
Mwekezaji akitaka kuvuka hivyo Vyote anzaa na IGA. IGA inenda bungeni then inasajili mkataba. Kodi zote ni mazungumzo baada ya hapo. Hakuna mbwa yoyote anakuja kuuliza kitu.
Haya ni mazo yako kama nionavyo.