Interior CS Joseph Nkaissery is dead

Interior CS Joseph Nkaissery is dead

Huyu jamaa tangu alipochukua wizara ya ulinzi .alshabab walituliaa sana. Mmepoteza jembe
Poleni majirani
 
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un ﺇِﻧَّﺎ ﻟِﻠّﻪِ ﻭَﺇِﻧَّـﺎ ﺇِﻟَﻴْﻪِ ﺭَﺍﺟِﻌﻮﻥَ . Tumempoteza mchapa kazi.
 
R.I.P our CS, jameni kumpoteza huyu waziri kipindi kama hiki ni hatari kwa nchi, amekua mstari wa mbele katika kuweka mambo kiusalama sawa.
Ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 67, hii ni baada ya kuugua ghafla na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Karen Hospital, Nairobi.
Major Gen. (Rtd.) Joseph Nkaissery alitokea jeshini kabla kuwa waziri wa mambo ya ndani na usalama na alifaulu pakubwa kwenye masuala ya usalama, maana kabla yake tulikua tunachezea sana mabomu ya mashababi Kenya.
Mungu ailaze roho yake pema peponi.
Poleni sana
 
Kuna haja ya kuangalia mambo haya kwa kina.nakumbuka 2012 Mwezi juni alikufa Prof. George saitoti ambaye alikuwa waziri wa ulinzi wakati huo katika ajali ya helicopter ilikuwa ni wakati wa uchaguzi kama huu. Pia tusisahau huyu nae alikuwa ni jamii ya Masai na alikuwa tishio kwenye nafasi ya urais ya Bwana Uhuru. Sasa tujiulize hili lililotokea tena leo ni kama matukio ya kupangwa na serikali ya jubilee kwa watu ambao ni tishio. Hasa hawa wamasai ambao hushika nafasi ya ulinzi katika serikali ikiwa ni nafasi yao katika serikali. Tukumbuke Kenya positions hutolewa kwa kuzingatia makabila ili kuondoa sintofahamu na migongano katika serikali
Nashawishika kifo cha Bwana huyu kimepangwa haswa ukizingatia hali halisi ya siasa ya Kenya kwa sasa.
Hii ni kama ile ya George saitoti.

Nimewaza tu wakuu wa Kenya msije kunishambulia hapa.
 
R.I.P our CS, jameni kumpoteza huyu waziri kipindi kama hiki ni hatari kwa nchi, amekua mstari wa mbele katika kuweka mambo kiusalama sawa.
Ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 67, hii ni baada ya kuugua ghafla na kupelekwa kwenye kituo cha afya cha Karen Hospital, Nairobi.
Major Gen. (Rtd.) Joseph Nkaissery alitokea jeshini kabla kuwa waziri wa mambo ya ndani na usalama na alifaulu pakubwa kwenye masuala ya usalama, maana kabla yake tulikua tunachezea sana mabomu ya mashababi Kenya.
Mungu ailaze roho yake pema peponi.
MK254 naona kama mazingira ya Aliyekuwa waziri wa ulinzi Mmasai Prof George saitoti aliyefariki June 2012 wakati wa heka heka za uchaguzi yana fanana na kifo cha Gen.Nkaissery ambaye nae ni mmasai. Je serikali ya Bwana Uhuru inaweza ikawa inahusika mauaji haya?

Nimewaza tu mkuu.nini maoni yako.
 
Kenya mourns 'Jemedari' Joseph Nkaissery

serry.gif


Nairobi County Speaker Alex Ole Magelo (left) and Kajiado Central MP Kanchory Memusi at the Lee Funeral Home. Mr Memusi, who inherited Nkaissery's seat, described his death as "shocking". PHOTO | STELLA CHERONO | NATION MEDIA GROUP

Kenya is coming to terms with the sudden death of Interior Cabinet Secretary Joseph Nkaissery on Saturday morning.

Government and private sector leaders, relatives, friends and ordinary Kenyans expressed shock at the passing on of the minister described by many as one of the “most dedicated” and “industrious” leaders in the Jubilee government.

National Assembly Majority Leader Aden Duale described the death of Major General (Retired) Nkaissery as “tragic”.

k1.gif


Young men gather to discuss Gen Nkaissery's death at Ilbisil in Kajiado. Nkaissery was supposed to attend a Fundraising Ilbisil in Kajiado Central to support needy children. PHOTO | JOSEPH NGUNJIRI | NATION MEDIA GROUP

“(His death) is a big loss to the country coming at a time when he was preparing various security agencies to ensure peace prevails during elections,” he said at the Lee Funeral Home in Nairobi.

He said he spoke to the fallen minister on Thursday morning before he left for Jubilee Party campaigns in Bomet County and Jemedari, as he was popularly known in government circles, "was in high spirits".
He described the late minister as a “father, elder and a very hard-working man".

k2.gif


Kajiado Central MP Kanchory Memusi addresses the media at the Lee Funeral Home. Mr Memusi, who inherited Nkaissery's seat, described his death as "shocking". PHOTO | STELLA CHERONO | NATION MEDIA GROUP

Senate Majority Leader Kithure Kindiki said Nkaissery would be remembered as the minister who turned around our Kenya's security.

Before he took over from Mr Joseph Lenku at the Interior docket, Kenya was facing a spiralling terrorism and insecurity wave and he had made major strides in arresting it.
“A great son of Kenya who had previously served our beloved country in the military and as a MP, Hon Nkaissery was one of the top performing Cabinet Secretaries in President Uhuru Kenyatta's Administration,” he said.

“May God grant Hon. Nkaissery's family, friends, the Maasai community and Kenyans at large fortitude as we mourn the death of a great Kenyan.”

AL-SHAABAB

Council of Governors chairman Josphat Nanok eulogised Nkaissery as a man who restored Kenyans’ faith in the power of the state to protect them from terror attacks.
Mr Nanok said that soon after Nkaissery was appointed the Interior minister, he “quickly stamped his authority”.

“The late Gen Nkaissery will be remembered for his uncompromising stand on matters of security, having inherited the docket at the height of al-Shabaab militia attacks in the country,” Mr Nanok said in a statement to newsrooms, noting that he had learnt of the minister’s death “with great sadness”.

SHOCK

“On behalf of the Council of Governors and the county governments, I convey my heartfelt condolences to the family and friends of the late Joseph Nkaissery.

We share in the great loss of a great, selfless and dedicated leader and may our prayers serve as comfort during this trying time,” stated Mr Nanok.

Elgeyo-Marakwet Senator Kipchumba Murkomen mourned the late minister saying he was the man who restored sanity in Kenya’s security sector.

Kwale Governor Salim said he was shocked by Nkaissery’s death.
“I have known Nkaissery as a focused leader who urged those who worked with him to perform their duties within the law,” he said.
“Kenyans will miss his patriotism, loyalty, and steadfastness.”

NO SIGNS

Nairobi County Speaker Alex Ole Magelo said he was with Nkaissery on Friday and he did not show any signs of ill health.
Tharaka- Nithi Governor Samuel Ragwa said the “cruel hand of death has robbed Kenya and the government a dedicated patriot who handled security issues professionally with passion”.

“The people of Tharaka Nithi County join all Kenyans in mourning Nkaissery, whose approach to security challenges and conflicts was most admirable,” he said.

“We also grief with the Maasai community for losing a champion of their rights and interests.”
Narok North MP Moitalel Ole Kenta said “was an inspiration and asset to the Kenyan people in general and the Maasai people in particular”.

MAA ELDER

“His tireless efforts to rid this country of disruptive and destructive elements will remain the reference and definitive point in our history. He did his job well and for that we shall always be grateful for his life,” he said.
Narok Governor Samuel Tunai mourned the death of the Maa elder, saying it had “lowered the cloud of sorrow upon the whole nation”.

“He was a personal friend and confidant, a man whose counsel guided me, still.”
“No consolation can relieve us of the pain brought upon us by this heart-breaking loss,” he said.

To President Kenyatta; to his immediate family; to his team and colleagues in the ministry, and altogether to the people of Kenya, the people of Narok County and I join you in mourning this gallant public servant.”

Daily Nation...
 
Kuna haja ya kuangalia mambo haya kwa kina.nakumbuka 2012 Mwezi juni alikufa Prof. George saitoti ambaye alikuwa waziri wa ulinzi wakati huo katika ajali ya helicopter ilikuwa ni wakati wa uchaguzi kama huu. Pia tusisahau huyu nae alikuwa ni jamii ya Masai na alikuwa tishio kwenye nafasi ya urais ya Bwana Uhuru. Sasa tujiulize hili lililotokea tena leo ni kama matukio ya kupangwa na serikali ya jubilee kwa watu ambao ni tishio. Hasa hawa wamasai ambao hushika nafasi ya ulinzi katika serikali ikiwa ni nafasi yao katika serikali. Tukumbuke Kenya positions hutolewa kwa kuzingatia makabila ili kuondoa sintofahamu na migongano katika serikali
Nashawishika kifo cha Bwana huyu kimepangwa haswa ukizingatia hali halisi ya siasa ya Kenya kwa sasa.
Hii ni kama ile ya George saitoti.

Nimewaza tu wakuu wa Kenya msije kunishambulia hapa.
Yaliopita sindwele, tugange yajayo
 
The life and times of Joseph Nkaissery

nkai.jpg


Born - November, 28 1949. Full name - Joseph Kasaine Ole Nkaissery
Education

1960 – 1966 Primary school student

1967 – 1970 Secondary school student

1971 - 1972 Student of Kenyatta College (dropped out)

1985 - 1986 Student of Defence Staff College (B Ed, (Pioneer Class) dropped out)

1996 - 1997 Student of United State Army War College (International fellow programmes)

Political Positions

March 10, 2013 - December 2, 2014 MP for Kajiado Central

February 13, 2013 - 2014 - Coalition member of Coalition for Reforms and Democracy

2007 - 2014 MP for Kajiado Central of Orange Democratic Movement

December 18, 2014 - July 7, 2017 - Cabinet Secretary for Interior and Coordination of National Government of Ministry of Interior and Coordination of National Government

December 2002 - Commandant of Armed Forces Training College and GOC Westcom

1999 - 2002 - GOC Western of Kenya Army

1997 - 1998 - Deputy Commandant/Chief Instructor of Kenya Army

1994 - 1996 - Brigade Commander of Kenya Army

1992 - 1993 - Chief of Personnel of Kenya Army

1987 - 1991 - Military Assistant to the Chief of General Staff of Kenya Army

1986 - Battalion Second in Command of Kenya Army

1982 - Combat Instructor of Kenya Army


From Mzalendo.com and Daily Nation

RIP jemedari Nkaissery...
 
MK254 naona kama mazingira ya Aliyekuwa waziri wa ulinzi Mmasai Prof George saitoti aliyefariki June 2012 wakati wa heka heka za uchaguzi yana fanana na kifo cha Gen.Nkaissery ambaye nae ni mmasai. Je serikali ya Bwana Uhuru inaweza ikawa inahusika mauaji haya?

Nimewaza tu mkuu.nini maoni yako.

Haina mantiki kaka maana huyu waziri alikua wa karibu sana na rais Uhuru, na pia hajawahi tangaza nia yake ya kugombea urais. Kwa kifupi rais Uhuru amepoteza jembe muhimu sana kwenye serikali yake. Kumbuka mashababi yalikua yamemtatiza Uhuru hadi balaa, huyu waziri alipoteuliwa yakanyooka.
 
Matiang'i is the best choice to hold this docket,even permanently going forward!
Abslutely! After the Marsabit attack in 2015, I commented on a certain blog that this guy should be handed the job, now that Ole Lenku had proven such a failure. But Uhuru had other ideas ofcos, plucking yet another very capable man wasting his talents in the opposition politics while Kenyans were dying.
 
Pumzika kwa amani general, ulikuwa mchapakazi sana. Poleni wakenya kwa msiba
 
Trending.... Search Twitter - [HASHTAG]#RIPGeneralNkaiserry[/HASHTAG]

PHOTO: Just, what were Saitoti and Nkaissery planning here?

K6.gif


Nkaissery (left) and Saitoti during a fundraiser in aid of PCEA Church in Rongai on March 6, 2011. FILE PHOTO | HEZRON NJOROGE | NATION MEDIA GROUP

Moments after the news of the death of Interior Cabinet Secretary broke, a telling photo started doing rounds on social media.
The photo of Retired General (Retired) Joseph Nkaissery and his predecessor George Saitoti, taken by former Nation
photojournalist Hezron Njoroge on March 6, 2011, trended on Twitter, Facebook and WhatsApp groups for the better part of Saturday morning.

WATCHES

In the image taken at PCEA Church in Rongai, both Saitoti and Nkaissery are looking at their watches, as if they were scheduling or waiting for an important appointment.

The photo left Kenyans online guessing on what the two former ministers, former Kajiado MPs and Maasai elders were planning.

Many drew what they termed as “coincidences” that brought together their sudden deaths.

Both Saitoti and Nkaissery served in the powerful ministry in charge of internal security.

Under Saitoti’s time, the ministry was called Internal Security and Provincial Administration before it was renamed Interior and Coordination of National Government under the Jubilee administration.

BIRTHDAY

What also attracted the curiosity of Kenyans on Twitter is that both leaders died few months to their 67th birthdays.

Saitoti, who was born on August 3, 1945, died on June 10, 2012, on a Sunday morning after the chopper he was traveling in together with his assistant minister, Orwa Ojode, crashed in Ngong Forest.
Nkaissery was born on November 28, 1949 and died on July 7, 2017 at Karen Hospital.

“So sad. Both died same age, during an election period and both served as CS for internal security as their last careers. Is it a coincidence?” posed a Twitter user.

Whereas Nkaissery died within a month to an election, Saitoti died nine months to March 4, 2013 polls.

DN...
 
Back
Top Bottom