Inawezekana mm kwangu nimetengeneza open kitchen ila jitaidi jikoni iwepo chimney ya kuvuta Moshi na harufu ila uwe na jiko jingine la makolokolo kibongo bongo nadhani unaelewa kuhusu hekaheka za jikoni pia dinning nyingi bongo azitumiki hivyo ukiwa na concept hiyo itasaidia kufanya watu wawe wakula uku wanacheki tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.