Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mapapa wa private sector wametu-rape mchana kweupeeeWanawaza kuvuna pesa tu hawawazi wanaharibu chanzo cha kuvunia pesa

Wakati mwingine hao watawala hufanya mambo yanayoonekana kama hujuma.Serikali unajua dhahiri kuwa na kiwanja cha kimataifa ndani ya hifadhi ya Serengeti ni makosa makubwa na madhara yake ni makubwa kuliko faida ila kwa wachache wanangalia faida za kifedha na kupuuza madhara makubwa ya kimazingira na hapa ndo tunapofeli.
mambo yanayofanyika sasa ni sawa na mlevi kuficha kiwiliwili kichakani na kuacha makalio wazi yakiwa kando ya barabara, alaf eneo lenyewe ni mombasa!!Serikali unajua dhahiri kuwa na kiwanja cha kimataifa ndani ya hifadhi ya Serengeti ni makosa makubwa na madhara yake ni makubwa kuliko faida ila kwa wachache wanangalia faida za kifedha na kupuuza madhara makubwa ya kimazingira na hapa ndo tunapofeli.
Kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kunaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na wanyamapori. Baadhi ya madhara hayo ni:
Kuharibu Mazingira Asilia – Ujenzi wa kiwanja cha ndege utahitaji ukataji wa miti, ujenzi wa barabara, na miundombinu mingine, jambo ambalo linaweza kuharibu makazi ya wanyama na kusababisha mmomonyoko wa udongo.
Kuvuruga Mfumo wa Ikolojia – Serengeti ni mojawapo ya maeneo yenye mifumo ya kipekee ya ikolojia duniani. Shughuli za ujenzi na uendeshaji wa kiwanja cha ndege zinaweza kuvuruga uhamaji wa wanyama (kama nyumbu na pundamilia) na mzunguko wa maisha yao.
Kelele na Uchafuzi wa Hewa – Ndege zinazotua na kupaa zitazalisha kelele kubwa, ambazo zinaweza kuwasumbua wanyama na kuwafanya waondoke kwenye maeneo yao ya asili. Pia, moshi na hewa chafu zitakazotoka kwa ndege na magari zinaweza kuharibu ubora wa hewa na mimea.
Kuongezeka kwa Watalii Kupita Kiasi – Wakati utalii ni chanzo muhimu cha mapato kwa Tanzania, idadi kubwa ya watalii inaweza kusababisha uharibifu wa mazingira na ongezeko la taka, magari, na ujenzi holela wa hoteli na miundombinu mingine.
Hatari kwa Ndege za Abiria – Hifadhi ya Serengeti ina idadi kubwa ya ndege wa porini, ambao wanaweza kugongana na ndege za abiria (bird strikes), jambo ambalo linaweza kusababisha ajali mbaya.
Kuharibu Utalii wa Ikolojia – Serengeti ni kivutio cha kimataifa kutokana na mandhari yake ya asili na wanyama wake wa porini. Ujenzi wa kiwanja cha ndege unaweza kuharibu uhalisia wa hifadhi na kuifanya ionekane kama jiji badala ya eneo la porini.
Kwa ujumla, madhara ya kujenga kiwanja cha ndege ndani ya Serengeti yanaweza kuwa makubwa zaidi kuliko faida zake. Njia mbadala inaweza kuwa kuboresha viwanja vya ndege vilivyopo nje ya hifadhi, kama vile Kiwanja cha Ndege cha Arusha au Mwanza, na kuimarisha usafiri wa ndani kwa kutumia viwanja vidogo vilivyo karibu na Serengeti.
" Pana vitu vinatokea Tanzania na hauwezi kuamini kama ni watu wenye fikra zao wameanua kufanya hivyo " mkuu hii inasikitisha sanaAisee sijui wamewaza nini ila kwa yanayoendelea wacha tuwe wasikilizaji tu ni Nchi gani wameona kiwanja cha ndege kikubwa kimejengwa Mbugani wao badala ya kupunguza gharama za kutua hapo KIA wanataka kuififisha KIA na Daslm ili wafanye mambo zao huko...
Pana vitu vinatokea Tanzania na hauwezi kuamini kama ni watu wenye fikra zao wameanua kufanya hivyo...
umeongea ukweli kabisa!!!Wakati mwingine hao watawala hufanya mambo yanayoonekana kama hujuma.
Sidhani kama hawajui hayo madhara.
Ukute kuna wageni fulani wanapata shida kusafirisha wanyama hai kupitia KiA, nk, maana inashindika kuwa siri, wamekuja na huu mchongo hatari na serikali "sikivu" imeridhia..
MADHARA YA KWENYE MBUGA HUJASEMA...KIA iko mbali sana na Serengeti na tunakoelekea kama Serengeti itapata International Airport na hapo jirani tu Mwanza kunapanuliwa kuwa International Airport tegemea Watalii wa kuja Serengeti kushukia Serengeti au Mwanza! KIA itabaki kuhudumia watu wa Northern circuit hasa wa kutembelea Kilimanjaro na Ngorongoro!
Wanatangaza kuwa Utalii unaipatia Nchi pesa nyingi hapo hapo wanavuruga utalii hawalindi kitu baadae utasikia wanatoa vibali vya kuchimba madini mbugani hawa jamaa sio watu kabisaa." Pana vitu vinatokea Tanzania na hauwezi kuamini kama ni watu wenye fikra zao wameanua kufanya hivyo " mkuu hii inasikitisha sana
Lengo hapa mambo yao yaishie humo humo mbungani, hatari sana basi tuWanatangaza kuwa Utalii unaipatia Nchi pesa nyingi hapo hapo wanavuruga utalii hawalindi kitu baadae utasikia wanatoa vibali vya kuchimba madini mbugani hawa jamaa sio watu kabisaa.
hawana uchungu,si wametokea kigamboni?Wanatangaza kuwa Utalii unaipatia Nchi pesa nyingi hapo hapo wanavuruga utalii hawalindi kitu baadae utasikia wanatoa vibali vya kuchimba madini mbugani hawa jamaa sio watu kabisaa.
Hao wana chuki na mkoa wa Mara,, mkoa wa Mara pia unahitaji kufunguliwa kumbuka ndo muasisi wa Taifa hili alipozaliwakiwanja kitajengwa mjini mgumu kilomita zaidi ya 50 toka kwenye hifadhi ya serengeti huo uharibifu wa uoto wa asili hautakuwepo.
Actualy according to taratibu za uhifadhi huiruhusiw kujengwa international airport. International airport unaongelea akina KIA na JKIA airports, zinafuatia regional airports.Serikali unajua dhahiri kuwa na kiwanja cha kimataifa ndani ya hifadhi ya Serengeti ni makosa makubwa na madhara yake ni makubwa kuliko faida ila kwa wachache wanangalia faida za kifedha na kupuuza madhara makubwa ya kimazingira na hapa ndo tunapofeli.
Kujenga kiwanja cha ndege cha kimataifa ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kunaweza kuleta madhara makubwa kwa mazingira na wanyamapori. Baadhi ya madhara hayo ni:
Kuharibu Mazingira Asilia – Ujenzi wa kiwanja cha ndege utahitaji ukataji wa miti, ujenzi wa barabara, na miundombinu mingine, jambo ambalo linaweza kuharibu makazi ya wanyama na kusababisha mmomonyoko wa udongo.
Kuvuruga Mfumo wa Ikolojia – Serengeti ni mojawapo ya maeneo yenye mifumo ya kipekee ya ikolojia duniani. Shughuli za ujenzi na uendeshaji wa kiwanja cha ndege zinaweza kuvuruga uhamaji wa wanyama (kama nyumbu na pundamilia) na mzunguko wa maisha yao.
Kelele na Uchafuzi wa Hewa – Ndege zinazotua na kupaa zitazalisha kelele kubwa, ambazo zinaweza kuwasumbua wanyama na kuwafanya waondoke kwenye maeneo yao ya asili. Pia, moshi na hewa chafu zitakazotoka kwa ndege na magari zinaweza kuharibu ubora wa hewa na mimea.
Kuongezeka kwa Watalii Kupita Kiasi – Wakati utalii ni chanzo muhimu cha mapato kwa Tanzania, idadi kubwa ya watalii inaweza kusababisha uharibifu wa mazingira na ongezeko la taka, magari, na ujenzi holela wa hoteli na miundombinu mingine.
Hatari kwa Ndege za Abiria – Hifadhi ya Serengeti ina idadi kubwa ya ndege wa porini, ambao wanaweza kugongana na ndege za abiria (bird strikes), jambo ambalo linaweza kusababisha ajali mbaya.
Kuharibu Utalii wa Ikolojia – Serengeti ni kivutio cha kimataifa kutokana na mandhari yake ya asili na wanyama wake wa porini. Ujenzi wa kiwanja cha ndege unaweza kuharibu uhalisia wa hifadhi na kuifanya ionekane kama jiji badala ya eneo la porini.
Kwa ujumla, madhara ya kujenga kiwanja cha ndege ndani ya Serengeti yanaweza kuwa makubwa zaidi kuliko faida zake. Njia mbadala inaweza kuwa kuboresha viwanja vya ndege vilivyopo nje ya hifadhi, kama vile Kiwanja cha Ndege cha Arusha au Mwanza, na kuimarisha usafiri wa ndani kwa kutumia viwanja vidogo vilivyo karibu na Serengeti.
Akili zao ni kama yule bwana alikuwa na bata anayetaga yai la dhahabu kila siku, akaona ili asichelewe avune dhahabu yote akamchinja yule bata apekue tumboni na kutoa dhahabu yote.Wanawaza kuvuna pesa tu hawawazi wanaharibu chanzo cha kuvunia pesa
Kwaninpale Mgumu ndio paharibiwe? Duh!kiwanja kitajengwa mjini mgumu kilomita zaidi ya 50 toka kwenye hifadhi ya serengeti huo uharibifu wa uoto wa asili hautakuwepo.