International airport ndani ya Serengeti ni makosa makubwa kiuhifadhi

Wakati mwingine hao watawala hufanya mambo yanayoonekana kama hujuma.
Sidhani kama hawajui hayo madhara.

Ukute kuna wageni fulani wanapata shida kusafirisha wanyama hai kupitia KiA, nk, maana inashindika kuwa siri, wamekuja na huu mchongo hatari na serikali "sikivu" imeridhia..
 
Eneo kutakakojengwa uwanja wa ndege si ndani ya mbuga ya wanyama ya Serengeti. Niko jirani na eneo husika(uwanja wa ndege) na liko mbali na mbuga ya wanyama
 
mambo yanayofanyika sasa ni sawa na mlevi kuficha kiwiliwili kichakani na kuacha makalio wazi yakiwa kando ya barabara, alaf eneo lenyewe ni mombasa!!
 
" Pana vitu vinatokea Tanzania na hauwezi kuamini kama ni watu wenye fikra zao wameanua kufanya hivyo " mkuu hii inasikitisha sana
 
umeongea ukweli kabisa!!!
 
MADHARA YA KWENYE MBUGA HUJASEMA...
Unaweza kuwa na kiwanja baada ya muda madhara yatakuwaje..
 
" Pana vitu vinatokea Tanzania na hauwezi kuamini kama ni watu wenye fikra zao wameanua kufanya hivyo " mkuu hii inasikitisha sana
Wanatangaza kuwa Utalii unaipatia Nchi pesa nyingi hapo hapo wanavuruga utalii hawalindi kitu baadae utasikia wanatoa vibali vya kuchimba madini mbugani hawa jamaa sio watu kabisaa.
 
Wanatangaza kuwa Utalii unaipatia Nchi pesa nyingi hapo hapo wanavuruga utalii hawalindi kitu baadae utasikia wanatoa vibali vya kuchimba madini mbugani hawa jamaa sio watu kabisaa.
Lengo hapa mambo yao yaishie humo humo mbungani, hatari sana basi tu
 
kiwanja kitajengwa mjini mgumu kilomita zaidi ya 50 toka kwenye hifadhi ya serengeti huo uharibifu wa uoto wa asili hautakuwepo.
Hao wana chuki na mkoa wa Mara,, mkoa wa Mara pia unahitaji kufunguliwa kumbuka ndo muasisi wa Taifa hili alipozaliwa
 
Sasa ccm inaweza kumpa makamu na mkuu wa vijana ccm huyu.we unazani akili zinafanya kazi
 
Actualy according to taratibu za uhifadhi huiruhusiw kujengwa international airport. International airport unaongelea akina KIA na JKIA airports, zinafuatia regional airports.

Zinazokuwamo ndani ya mbuga ni airstrips ambazo kimsingi si internationa wala hazijafikia hadhi ya regional airports
 
Wanawaza kuvuna pesa tu hawawazi wanaharibu chanzo cha kuvunia pesa
Akili zao ni kama yule bwana alikuwa na bata anayetaga yai la dhahabu kila siku, akaona ili asichelewe avune dhahabu yote akamchinja yule bata apekue tumboni na kutoa dhahabu yote.

Alipompasua yule bata hakupata dhahabu yoyote tumboni, bata akafa na hata ile dhahabu kidogo kupitia mayai nayo ikaota mbawa.

Ecology ya Serengeti ikiharibika kwa huo upuuzi wanaotaka kufanya, na hizo senti za utalii nazo zitayeyuka na airport itakosa kazi ya kufanya.
 
kiwanja kitajengwa mjini mgumu kilomita zaidi ya 50 toka kwenye hifadhi ya serengeti huo uharibifu wa uoto wa asili hautakuwepo.
Kwaninpale Mgumu ndio paharibiwe? Duh!
 
Kwakweli kuna mambo yanatakiwa yajadiliwe kitaalamu na kuweka wazi ili maoni yachukuliwe kwa uzito, lakini tukiacha maamuzi yafanyike mahala flani na watu flani tu basi tutabakia na historia tu kama ya majengo ya pale Salamander
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…