Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Leo Jumapili Juni 13, 2021 kwenye dimba la Benjamin Mkapa kutakuwa na mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) wakiumana vilivyo na Timu ya Taifa ya Malawi (The Flames).
========
10' mchezo umeanza kwa kasi huku mashambulizi yakiendelea kusaka bao kwa pande zote mbili.
Yusuf Mhilu anapiga shutiiiiii loooooo, anakosa nafasi nzuri ya kufunga ambapo shutiiiiii lake linapaa nje ya lango.
22' Mchezaji namba 10 wa Malawi anapiga shutiiiiii linatoka nje.. Ilikuwa nafasi kuandika bao | Taifa Stars 0-0 The Flames.
30' Hakuna timu imeona lango la mwenzake huku mashambulizi yakiendelea.
Almanusura The Flames wajipatie bao, kama si umahiri wa golikipa Manula kuokoa mchomo mkali kutoka kwa mshambuliaji wa The Flames.
Taifa Stars wakimiliki sasa kwake Mhiluuu, wanaokoa mabeki wa The Flames
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Mkapa. Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Timu zinatoka bila kufungana | Taifa Stars 0-0 The Flames.
Kipindi cha pili kimeanza huku Taifa Stars wakifanya mabadiliko ya wachezaji watatu kwa mkupuo.
65' Shuti kali la Ayoub Lyanga linapanguliwa na golikipa wa Malawi na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda | Taifa Stars 0-0 The Flames
68' Goooooooooaaal Goooooooaaal
John Bocco anahesabu bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Kibu | Taifa Stars 1-0 The Flames
Mpira ni Free Kick kuelekea Malawi The Flames.
Goooooooooaaal Goooooooaaal Israel Patrick anahesabu bao la pili kwa mpira wa Free Kick | Taifa Stars 2-0 The Flames.
85' The Flames wapo nyuma kwa mabao mawili huku wakifanya kila mbinu kuweza kusawazisha au kujipatia bao la kufutia machozi.
90+3' kuelekea kumalizika kwa mchezo, huku matumaini ya kusawazisha yakitoweka upande wa The Flames.
Naaaam umekwishaaa ambapo Taifa Stars wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya The Flames| FT: Taifa Stars 2-0 Malawi.
Ghazwat..!
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 10:0 Jioni. Usikose Ukasimuliwa.
========
10' mchezo umeanza kwa kasi huku mashambulizi yakiendelea kusaka bao kwa pande zote mbili.
Yusuf Mhilu anapiga shutiiiiii loooooo, anakosa nafasi nzuri ya kufunga ambapo shutiiiiii lake linapaa nje ya lango.
22' Mchezaji namba 10 wa Malawi anapiga shutiiiiii linatoka nje.. Ilikuwa nafasi kuandika bao | Taifa Stars 0-0 The Flames.
30' Hakuna timu imeona lango la mwenzake huku mashambulizi yakiendelea.
Almanusura The Flames wajipatie bao, kama si umahiri wa golikipa Manula kuokoa mchomo mkali kutoka kwa mshambuliaji wa The Flames.
Taifa Stars wakimiliki sasa kwake Mhiluuu, wanaokoa mabeki wa The Flames
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko uwanja wa Mkapa. Naaaam mpira ni mapumziko ambapo Timu zinatoka bila kufungana | Taifa Stars 0-0 The Flames.
Kipindi cha pili kimeanza huku Taifa Stars wakifanya mabadiliko ya wachezaji watatu kwa mkupuo.
65' Shuti kali la Ayoub Lyanga linapanguliwa na golikipa wa Malawi na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda | Taifa Stars 0-0 The Flames
68' Goooooooooaaal Goooooooaaal
John Bocco anahesabu bao la kwanza akipokea pasi murua kutoka kwa Kibu | Taifa Stars 1-0 The Flames
Mpira ni Free Kick kuelekea Malawi The Flames.
Goooooooooaaal Goooooooaaal Israel Patrick anahesabu bao la pili kwa mpira wa Free Kick | Taifa Stars 2-0 The Flames.
85' The Flames wapo nyuma kwa mabao mawili huku wakifanya kila mbinu kuweza kusawazisha au kujipatia bao la kufutia machozi.
90+3' kuelekea kumalizika kwa mchezo, huku matumaini ya kusawazisha yakitoweka upande wa The Flames.
Naaaam umekwishaaa ambapo Taifa Stars wameibuka na ushindi wa mabao mawili kwa bila dhidi ya The Flames| FT: Taifa Stars 2-0 Malawi.
Ghazwat..!