International School of Tanganyika watoto wanaenda shule kama Kawa ila Ems na Kayumba wote nyumbani, ndio mzazi ujue tofauti ya private na public

International School of Tanganyika watoto wanaenda shule kama Kawa ila Ems na Kayumba wote nyumbani, ndio mzazi ujue tofauti ya private na public

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Ems schools ni shule za public zenye majengo private. Hazina tofauti na Kayumba.

Kwa sababu zote Ems na Kayumba zinatumia mtaala wa Necta.

Ems zinawapa wazazi wanao somesha shule hizo " Illusion" ya kwamba wanasomesha shule ya private lakini Hakuna uhalisia.

Ems hazifundishi Kwa kiingereza isipokuwa kwenye shule za EMs masomo yanakuwa " mentioned" Kwa kiingereza.

Huwezi kufundishwa masomo Kwa kiingereza na mtu ambae :

1. Yeye mwenyewe Sio mzungumzaji wa lugha ya kiingereza ( Lugha Yake ya mawasiliano ni Kiswahili most of the time ila tu anajua matumizi ya articles (a, an, the), nouns, verbs, tenses etc.

2. Kiingereza Sio lugha Yake ya kwanza.
3. Etc

Ems haziwezi kuwa shule za private wakati zinafuata mtaala wa public (NECTA)

International Schools ndio shule za private Kwa sababu zinafuata mtaala Wao wenyewe (Cambridge)

Hizo ndio unastahili kulipa mamilioni (Dola elfu 30 plus Kwa mwaka)

Ila hizi Ems unapigwa tu mkuu.

Wanafunzi wa shule za Kayumba wapo nyumbani. Wanafunzi wa Ems wapo nyumbani pia.

Ila wanafunzi wa shule za private (International Schools) Wapo shuleni kama kawaida.

So which is which and which is not which?

Some people need to be taught the difference between OVERALL and ALL OVER.

Haya Sasa twende Kazi...............
 
No justification for your Ukata broo
Upo very slow mkuu. Yani hata mwandiko wa mtu mwenye ukata huujui.

Miaka ya themanini na Tisini magomeni kulikuwa na jambazi mmoja yeye section Yake ilikuwa ni driving basi walikuwa wakienda kupiga tukio halafu ukachelewa kuingia kwenye gari Kwa muda mliokubaliana, anakuacha.

Amewaacha watu wengi Sana wameuwawa. Wewe pia unge achwa Kwa sababu upo very slow.
 
Likud shule ya msingi na Likud hospital zinakusumbua sana mazee tutafute tu pesa tuache maneno mengi tu hakuna kitu usie na kitu ukamuelekeza mwenye pesa yake akusikilize ni kupiga kelele tu.
Kuna tofauti Kati ya mwenye pesa na mwenye kujitesa.

Mwenye pesa hapeleki mtoto wake Ems . Anapeleka International Schools Mtaala wa Cambridge
 
Upo very slow mkuu. Yani hata mwandiko wa mtu mwenye ukata huujui.

Miaka ya themanini na Tisini magomeni kulikuwa na jambazi mmoja yeye section Yake ilikuwa ni driving basi walikuwa wakienda kupiga tukio halafu ukachelewa kuingia kwenye gari Kwa muda mliokubaliana, anakuacha.

Amewaacha watu wengi Sana wameuwawa. Wewe pia unge achwa Kwa sababu upo very slow.
Oho ohooooo,stori nyingi hoja sifuri broo,hili suala limekushushia chini sana hadi najiuliza uwezo wako wa kufikiri kaka,samahani lakini.

Wakati mwingine kunyamaza ni bora zaidi kuliko kujishushia P,unaonekana kabisa unaweweseka sana,calm down ndugu
 
Oho ohooooo,stori nyingi hoja sifuri broo,

Hoja ni kwamba you are very slow
hili suala limekushushia chini sana

Your pyschological tricks are very poor
hadi najiuliza uwezo wako wa kufikiri kaka,samahani lakini.

🤣🤣🤣🤣 Hata wewe mwenyewe huamini hili ulicho kiandika.
Wakati mwingine kunyamaza ni bora zaidi kuliko kujishushia P

"Kujishushia P" msemo wa watu wa kanda ya ziwa. Msukuma wewe 🤣🤣🤣🤣
,unaonekana kabisa unaweweseka sana,calm down ndugu

So umekuwa mganga mtabiri , unaniona hadi huku nilipo. We kiboko
 
Back
Top Bottom