Aiylan wasalan
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 730
- 1,478
Insha Allah wangu atasoma,St.Constantine huko Chuga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,hapo mwenyewe ndio unaona umejibu kwa hoooooja,🤣🤣🤣🤣🤣Hoja ni kwamba you are very slow
Your pyschological tricks are very poor
🤣🤣🤣🤣 Hata wewe mwenyewe huamini hili ulicho kiandika.
"Kujishushia P" msemo wa watu wa kanda ya ziwa. Msukuma wewe 🤣🤣🤣🤣
So umekuwa mganga mtabiri , unaniona hadi huku nilipo. We kiboko
Shida yako ni nini? Mbona uko frustrated sana na shule za EMs?
Chill Bro. Hakuna anayeshikiwa Bunduki ili apeleke mtoto huko.
Wewe ndio unatumia nguvu kubwa kunielewa ndio maana huelewi.Mimi ninachoshangaa ni namna ambavyo unatumia nguvu kubwa kutaka ionekane kwamba kayumba hazina tofauti na private, hii kisaikolojia ni dalili ya kushindwa kujiamini na maamuzi yako hivyo unatafuta wengine kama wewe ili kufanya mawazo yako yawe valid, kama kweli unajiamini na mawazo yako kwanini unalazimisha wengine wakuunge mkono we uliona wapi ngozi nyeusi tunatumia nguvu kubwa kuhimizana kwenye mambo mazuri
Sawa Mr EM's Obsessor,🤣🤣🤣🤣Aisee... wewe ni masikini. Sema " Napokea"
Shule Gani hizo?Mtu akisoma nyuzi za LIKUD hawezi tena kupeleka mtoto wake kwenye hizi shule za hovyo zenye walimu failure
MAKAGA kwa kuimba mapambio mitandaoni haisaidii, waambie serikali waweke miundombinu mizuri ya kutoa elimu, unachofanya ni debe tupu tu.Wewe ndio unatumia nguvu kubwa kunielewa ndio maana huelewi.
Nafanya campaign ' Making Kayumba Schools Great Again"
MAKAGA Campaign
Hongera Sana mkuu nyie ndio watanzania mnao jitambuaEms ni kayumba zilizo changamka na wanao peleka watoto huko wengi Wao ni masikini nazijua Sana shule za EMs nimewahi kupeleka huko ila akili zilipo nikaa sawa nimewarudisha Kayumba na faida naziona
Hizi zinazomilikiwa na wachaga wajanja wajanja.Shule Gani hizo?
Hata hili nalo ni issue?Ems schools ni shule za public zenye majengo private. Hazina tofauti na Kayumba.
Kwa sababu zote Ems na Kayumba zinatumia mtaala wa Necta.
Ems zinawapa wazazi wanao somesha shule hizo " Illusion" ya kwamba wanasomesha shule ya private lakini Hakuna uhalisia.
Ems hazifundishi Kwa kiingereza isipokuwa kwenye shule za EMs masomo yanakuwa " mentioned" Kwa kiingereza.
Huwezi kufundishwa masomo Kwa kiingereza na mtu ambae :
1. Yeye mwenyewe Sio mzungumzaji wa lugha ya kiingereza ( Lugha Yake ya mawasiliano ni Kiswahili most of the time ila tu anajua matumizi ya articles (a, an, the), nouns, verbs, tenses etc.
2. Kiingereza Sio lugha Yake ya kwanza.
3. Etc
Ems haziwezi kuwa shule za private wakati zinafuata mtaala wa public (NECTA)
International Schools ndio shule za private Kwa sababu zinafuata mtaala Wao wenyewe (Cambridge)
Hizo ndio unastahili kulipa mamilioni (Dola elfu 30 plus Kwa mwaka)
Ila hizi Ems unapigwa tu mkuu.
Wanafunzi wa shule za Kayumba wapo nyumbani. Wanafunzi wa Ems wapo nyumbani pia.
Ila wanafunzi wa shule za private (International Schools) Wapo shuleni kama kawaida.
So which is which and which is not which?
Some people need to be taught the difference between OVERALL and ALL OVER.
Haya Sasa twende Kazi...............
Kuna kitu kwenye akili yake hakijakaa sawa. Sio jambo la kawaida mtu kuteseka kuona watoto wanaenda shule za EMs.Mimi ninachoshangaa ni namna ambavyo unatumia nguvu kubwa kutaka ionekane kwamba kayumba hazina tofauti na private, hii kisaikolojia ni dalili ya kushindwa kujiamini na maamuzi yako hivyo unatafuta wengine kama wewe ili kufanya mawazo yako yawe valid, kama kweli unajiamini na mawazo yako kwanini unalazimisha wengine wakuunge mkono we uliona wapi ngozi nyeusi tunatumia nguvu kubwa kuhimizana kwenye mambo mazuri
Asante Sana mkuu. Halafu hizi shule za EMs ni kama pepo lililotengenezwa Kwa ajili ya kuwatia watanzania masikini umasikini Kwa sababu watu wengi Sana wanaosomesha shule hizo huwa wanaishia kuwa masikini wa kutupwa pesa yote wanaichoma kwenye ada.Hongera Sana mkuu nyie ndio watanzania mnao jitambua