International School of Tanganyika watoto wanaenda shule kama Kawa ila Ems na Kayumba wote nyumbani, ndio mzazi ujue tofauti ya private na public

Ubora wa Kayumba Vs Ems upo kwenye mindset. Just change ur mindset
 
Ila nimesikitika sana mkuu kama bado wewe ni mshabiki wa shule za EMs at lest mpeleke shule yenye wanafunzi 45 darasa moja. Wanafunzi kumi unamtesa Sana. Mtoto hawezi kuenjoy his childhood to the fullest
 
Ila nimesikitika sana mkuu kama bado wewe ni mshabiki wa shule za EMs at lest mpeleke shule yenye wanafunzi 45 darasa moja. Wanafunzi kumi unamtesa Sana. Mtoto hawezi kuenjoy his childhood to the fullest.
Ingawa primary tulimaliza 56, kulikuwa na wenzangu watano tu tuliokuwa karibu na mmoja tu kama rafiki. Mtaani nimekulia kijijini, free range, lakini nilikuwa na marafiki wachache, hawazidi wanne. Point yangu kubwa, mtoto hahitaji watoto wengi kufurahia utoto wake, maana hata kati ya hao wengi atakuwa close na marafiki wawili au watatu tu.
Besides, mtoto wa miaka 4 nimpeleke kwenye darasa lenye wanafunzi 45? Au nimuache atembee dakika 30 kwenda shule? Nitakuwa nataka kuvumbua nini?

Ushauri wangu, let your pocket dictate. Huwezi kuzidogosha EMs kwa kuzipa kayumba sifa zisizokuwa nazo. Campaign yako ingekuwa na maana zaidi kama ungehimiza maboresho ya jumla kwenye shule za kayumba. Huwezi kuwatajirisha masikini kwa kufanya kampeni ya kumdoghosha tajiri.
 
Watu aina ya LIKUD ,usipokuwa makini wanaweza kukuingiza chaka. Unaweza kukuta hicho anachoponda ndiyo hicho hicho anakifuata au anakifanyia kazi/anakitumikia
Utawezaje kufuata ushauri wa Likud watasema umerogwa au una fedha za waganga...ukiona mtu abeza Elimu jua hayupo sawa kabisaa..
 
Sasa msomi kufananisha Tanzania yenye population ya 60m na Switzerland yenye idadi ya watu 8m tena imeendelea sidhani kama upo sawa hapo idadi ya watoto ni kama idadi ya watoto wa mkoa mmoja wa Tanzania sisi bado tupo kunyang'anyana Groves za Tsh 300 kwa bei ya Nchi zilizoendela..Tanzania wapo watu wengi hawana hata vitambulisho wakati huko Swiss vitambulisho wanaletewa nyumbani swala la matibabu na Elimu sio mjadala kwao emu njoo na mifano ya Nchi masikini kama zetu ntakuelewa..
 
Unalipa zaidi ya milioni miamoja kwa mwaka halafu mwanao akose masomo! Aikona!
 
Mbona ameitaja Rwanda hapo ambayo ni nchi ya kiafrika
 
Kwahio huko EM ndio mnawafundisha watoto wenu kuwa AN orange is correct and THE orange is wrong?

I ate an orange. Damn, THE orange was sour!

Now tell me that sentence is grammatically wrong.
 
Mbona ameitaja Rwanda hapo ambayo ni nchi ya kiafrika
Mnavyodanganyana kuhusu Rwanda kama vile ipo bara jingine hakuna kitu cha maana pale ni propaganda tu za Watawala wa Dunia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…