Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkongwe anaumaliza mwendo. #TutakukumbukaInternet Explorer ya Microsoft inafungwa kabisa kuanzia tarehe 15 mwezi Juni.
View attachment 2262330
Daah, Kwa hiyo 5yrs hadi leo umeshindwa kuretrieve hizo credentials.Dah nitaumbuka, kuna forum muhimu kwangu amabyo nimepoteza kumbukumbu zote za Password pamoja na Email niliojiungia, Kinachoniokoa nikua nikuwa niliiset auto login, kwa mwaka wa 5 sasa nimekua nikiitumia explore kwa kijambo hicho tu.
Daah, Kwa hiyo 5yrs hadi leo umeshindwa kuretrieve hizo credentials.
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mimi naishukuru password.google.com otherwise ningeshapoteza vitu vingi. Yani uwa nikosahau password naingia hapoDah nitaumbuka, kuna forum muhimu kwangu amabyo nimepoteza kumbukumbu zote za Password pamoja na Email niliojiungia, Kinachoniokoa nikua nikuwa niliiset auto login, kwa mwaka wa 5 sasa nimekua nikiitumia explore kwa kijambo hicho tu.
Microsoft edge ni mtoto wa chrome, hadi ukiinstall chrome kwenye windows 10, unapata msg kuwa edge na chrome ziko sawa tuChrome sio watu wazur, Mozilla naye sjui Yuko wap? Daah search engine ina virus kinyama
Unahitaji msaada?Dah nitaumbuka, kuna forum muhimu kwangu amabyo nimepoteza kumbukumbu zote za Password pamoja na Email niliojiungia, Kinachoniokoa nikua nikuwa niliiset auto login, kwa mwaka wa 5 sasa nimekua nikiitumia explore kwa kijambo hicho tu.