achana na computer na maintaneti, je wajua mabomu ya nyuklia na elimu ya radioactivity ilishakuwepo miaka ming zaid before white made Christ (b.c)...
kwa bahat mbaya tunaish ulimwengu wa hovyo, ambao kuna washenz wachache walioamua kupindua meza ya ustaharabu wa jamii fulan, na kuamua kuutumia uo ustaharabu kuinyoosha na kuicontrol dunia, huku wakijimilikisha baazi ya staharabu walizoiba na kucopy then kuzmilikisha kwa mamluki wao hawa mnaowasoma kwenye vitabu vyao vya physics, biology, chemistry, geography, history,mathematics e.t.c
haya uyaonayo leo ni kivuli cha taswira iliyokuwepo miaka mingi kabla ya uhuni na uhujumu wa kikoloni haujaanza, wapo watakaonielewa namaanisha nin, ila ujuwe tu Elimu ya sasa mnayopewa kuanzia first level ya vidudu mpka masters kweny vyuo vyenu, izo elimu inaweza kuwa ni 3% kati ya 100%, ndiomaana mikanganyiko mingi tu ambayo majibu yake hata watahalamu hawana majibu, nasio kwamba majibu hakuna, bali system za elimu haziwaruhus wao kutoa majibu ambayo hayajawekwa ktk mifumo ya elimu, na mtaendelea kuchanganyana nakuulizana mengi ambayo yatazid kujifichua, mkiuliza mbna lilikuwepo, wao watakujbu kiwepesi tu '' imegunduliwa na fulan mwaka fulani" kumbe uongo mtupu.
Watumwa wakubwa ktk dunia ya sasa ni
[emoji117] wasomi, haswa wenye elimu kubwa
[emoji117]washika dini
[emoji117]wafuasi wa siasa
hawa ndio watu hatar ambao hawako tyr kuukubali ukwel hata uwape ushahid, sabbu kubwa ni kujiona mshindi kwa kukubali kwel yake bila kuhoji ama kuwekewa limitations za kufikil nje ya box
elimu ya kikoloni ni takataka