Internet ilikuwepo kabla ya Kristo?

Hiyo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu ni kwa mujibu wa kalenda ipi?
Kumbuka kuwa 25/12 ni maadhimisho ya kuzaliwa Yesu na sio siku sahihi - Ni kama Jumapili ilivyogeuzwa siku ya mapumziko badala ya Jumamosi

Kabla Yesu kuzaliwa , tarehe zilikuwa zinahesabiwa kurudi nyuma - yani bado siku ngapi Mwokozi azaliwe , Baada ya kuzaliwa ndo tarehe na mwaka vikaanza moja
 
Umeme ulikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu eg radi, viumbe hai vyote vina mfumo wa umeme
Uwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nywele
 
labda yule jesus anaecheza ligi kuu ya bongo
 
Uwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nywele
Tupe ushahidi kama zamani umeme ulikuwa haupo

Ushahidi mzee
 
mack255

Zamani watu walifanya makubwa bila ya huwepo wa huo umeme

Karibu

Intaneti ni muunganiko wa kompyuta mbili au zaidi .

Na ili kompyuta ifanye kazi lazima kuwe na umeme.


Na vyote umeme (matumizi ya kawaida) na kompyuta - vimegunduliwa baada ya 1600
 
Intaneti ni muunganiko wa kompyuta mbili au zaidi .

Na ili kompyuta ifanye kazi lazima kuwe na umeme.


Na vyote umeme (matumizi ya kawaida) na kompyuta - vimegunduliwa baada ya 1600
Kwanini unaamini umeme tu ndiyo unaweza washa kompyuta hujawai waza kitu kingine kinachoweza washa kompyuta tofauti na umeme
 
Bila inernet ama mfumo wa kikompyuta, M/mungu anawezaje kukusanya dhambi pamoja na sala zetu?
 
achana na computer na maintaneti, je wajua mabomu ya nyuklia na elimu ya radioactivity ilishakuwepo miaka ming zaid before white made Christ (b.c)...

kwa bahat mbaya tunaish ulimwengu wa hovyo, ambao kuna washenz wachache walioamua kupindua meza ya ustaharabu wa jamii fulan, na kuamua kuutumia uo ustaharabu kuinyoosha na kuicontrol dunia, huku wakijimilikisha baazi ya staharabu walizoiba na kucopy then kuzmilikisha kwa mamluki wao hawa mnaowasoma kwenye vitabu vyao vya physics, biology, chemistry, geography, history,mathematics e.t.c

haya uyaonayo leo ni kivuli cha taswira iliyokuwepo miaka mingi kabla ya uhuni na uhujumu wa kikoloni haujaanza, wapo watakaonielewa namaanisha nin, ila ujuwe tu Elimu ya sasa mnayopewa kuanzia first level ya vidudu mpka masters kweny vyuo vyenu, izo elimu inaweza kuwa ni 3% kati ya 100%, ndiomaana mikanganyiko mingi tu ambayo majibu yake hata watahalamu hawana majibu, nasio kwamba majibu hakuna, bali system za elimu haziwaruhus wao kutoa majibu ambayo hayajawekwa ktk mifumo ya elimu, na mtaendelea kuchanganyana nakuulizana mengi ambayo yatazid kujifichua, mkiuliza mbna lilikuwepo, wao watakujbu kiwepesi tu '' imegunduliwa na fulan mwaka fulani" kumbe uongo mtupu.

Watumwa wakubwa ktk dunia ya sasa ni
[emoji117] wasomi, haswa wenye elimu kubwa
[emoji117]washika dini
[emoji117]wafuasi wa siasa
hawa ndio watu hatar ambao hawako tyr kuukubali ukwel hata uwape ushahid, sabbu kubwa ni kujiona mshindi kwa kukubali kwel yake bila kuhoji ama kuwekewa limitations za kufikil nje ya box

elimu ya kikoloni ni takataka
 
Muulize aliyesema
 
Not true at all kuwa kabla ya Yesu miaka ilikuwa inahesabiwa kurudi nyuma hata ktk hiyo Jewish calendar.

System ya kuhesabu kurudi nyuma imeingizwa na Gregorian calendar...na hata hii ya Anno Domini nayo ukiifata bado haikupi mwaka wa Yesu kuzaliwa kuwa 1/1/1.

Ukifata mfumo wa kalenda ya Gregory au Anno Domini kuzaliwa kwa Kristo kunaangukia BC..somewhere around 5-6 BC.

Wakati Yesu anaishi anakufa anafufuka na kupaa...kalenda zilizokuwepo wakati huo ni ya Kiyahudi au ya Kibiblia ya taifa lake alipoishi mbali na hiyo ipo iliyokuwa ikitumika sehemu kubwa ya ulimwengu wa wakati huo..yaani kalenda ya dola ya Warumi ambao wao walihesabu miaka yao toka kuasisiwa kwa mji wa Roma.
 
Ukijua siri ya waliojenga pyramids za Misri ambao kimsingi walikuwa watu weusiwajulikanao kama wanubi waliojenga hata zile za Sudan, utajua ukweli wa swali lako
 
Nilimsikia mhubiri wa kanisa moja la kilokole redioni akisema kuna mama alimpigia simu Yesu akamfufue mwanaye
 
Kuna mambo ya kale ukiyasoma utagundua kulishawahi kuwa na teknolojia ambayo sasa hatujaifikia bado. Mfano nimewahi kusoma kuna sehemu yalipatikana mabaki ya matofali ambayo sio rahisi kabisa kutumika kwa sasa, yalikuwa makubwa mno.
 
Kuna mambo ya kale ukiyasoma utagundua kulishawahi kuwa na teknolojia ambayo sasa hatujaifikia bado. Mfano nimewahi kusoma kuna sehemu yalipatikana mabaki ya matofali ambayo sio rahisi kabisa kutumika kwa sasa, yalikuwa makubwa mno.
Kwani Pyramid za Misri kuna winch hapa duniani inaweza beba tofali zile?
 
Je ili suala ni kweli ?
Jiulize ikiwa cloud (ma/wingu) ndiyo internet wameweza kuweka ushahidi (data) mawinguni (clouds). Je miaka hiyo 2000 iliyopita ikazungumzwa " Wingu kubwa namna hii la ushahidi" katika Biblia ni nini kama siyo internet
12:1 1Kor 9:24; Ebr 10:36 Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi
Simply put, the cloud is the Internet—more specifically, it's all of the things you can access remotely over the Internet. When something is in the cloud, it means it's stored on Internet servers instead of your computer's hard drive. Watch the video below to learn more about the cloud.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…