Kumbuka kuwa 25/12 ni maadhimisho ya kuzaliwa Yesu na sio siku sahihi - Ni kama Jumapili ilivyogeuzwa siku ya mapumziko badala ya JumamosiHiyo tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu ni kwa mujibu wa kalenda ipi?
Uwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nyweleUmeme ulikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu eg radi, viumbe hai vyote vina mfumo wa umeme
Tupe ushahidi kama zamani umeme ulikuwa haupoUwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nywele
Above sentence is a total wastage of time...Sina tabia ya kusalimia naona ni suala la kupoteza muda tu wakubwa
Changia chochote mzeeAbove sentence is a total wastage of time...
Huu kweli ni upotevu wa muda ,Above sentence is a total wastage of time...
Kwanini unaamini umeme tu ndiyo unaweza washa kompyuta hujawai waza kitu kingine kinachoweza washa kompyuta tofauti na umemeIntaneti ni muunganiko wa kompyuta mbili au zaidi .
Na ili kompyuta ifanye kazi lazima kuwe na umeme.
Na vyote umeme (matumizi ya kawaida) na kompyuta - vimegunduliwa baada ya 1600
Bila inernet ama mfumo wa kikompyuta, M/mungu anawezaje kukusanya dhambi pamoja na sala zetu?Sina tabia ya kusalimia naona ni suala la kupoteza muda tu wakubwa
Kuna mzungu flani nimemsikia akisema hayo maneno hapo juu ilinibidi nisogee karibu nimsikilize
Alikuwa mzee kwahiyo alivyoona nasogea kwa kuzuga aliacha kuongea
Je ili suala ni kweli ?
Muulize aliyesemaSina tabia ya kusalimia naona ni suala la kupoteza muda tu wakubwa
Kuna mzungu flani nimemsikia akisema hayo maneno hapo juu ilinibidi nisogee karibu nimsikilize
Alikuwa mzee kwahiyo alivyoona nasogea kwa kuzuga aliacha kuongea
Je ili suala ni kweli ?
Not true at all kuwa kabla ya Yesu miaka ilikuwa inahesabiwa kurudi nyuma hata ktk hiyo Jewish calendar.Kumbuka kuwa 25/12 ni maadhimisho ya kuzaliwa Yesu na sio siku sahihi - Ni kama Jumapili ilivyogeuzwa siku ya mapumziko badala ya Jumamosi
Kabla Yesu kuzaliwa , tarehe zilikuwa zinahesabiwa kurudi nyuma - yani bado siku ngapi Mwokozi azaliwe , Baada ya kuzaliwa ndo tarehe na mwaka vikaanza moja
Ukijua siri ya waliojenga pyramids za Misri ambao kimsingi walikuwa watu weusiwajulikanao kama wanubi waliojenga hata zile za Sudan, utajua ukweli wa swali lakoSina tabia ya kusalimia naona ni suala la kupoteza muda tu wakubwa
Kuna mzungu flani nimemsikia akisema hayo maneno hapo juu ilinibidi nisogee karibu nimsikilize
Alikuwa mzee kwahiyo alivyoona nasogea kwa kuzuga aliacha kuongea
Je ili suala ni kweli ?
Nilimsikia mhubiri wa kanisa moja la kilokole redioni akisema kuna mama alimpigia simu Yesu akamfufue mwanayeSina tabia ya kusalimia naona ni suala la kupoteza muda tu wakubwa
Kuna mzungu flani nimemsikia akisema hayo maneno hapo juu ilinibidi nisogee karibu nimsikilize
Alikuwa mzee kwahiyo alivyoona nasogea kwa kuzuga aliacha kuongea
Je ili suala ni kweli ?
Kwani Pyramid za Misri kuna winch hapa duniani inaweza beba tofali zile?Kuna mambo ya kale ukiyasoma utagundua kulishawahi kuwa na teknolojia ambayo sasa hatujaifikia bado. Mfano nimewahi kusoma kuna sehemu yalipatikana mabaki ya matofali ambayo sio rahisi kabisa kutumika kwa sasa, yalikuwa makubwa mno.
Jiulize ikiwa cloud (ma/wingu) ndiyo internet wameweza kuweka ushahidi (data) mawinguni (clouds). Je miaka hiyo 2000 iliyopita ikazungumzwa " Wingu kubwa namna hii la ushahidi" katika Biblia ni nini kama siyo internetJe ili suala ni kweli ?
12:1 1Kor 9:24; Ebr 10:36 Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidiKuna elimu umefichwa ewe mswahili na watu wa imani za kuja hutoijua, wanatupa elimu / ilmu kiduchu yale makubwa hata viongozi wetu wanaoitwa maaskofu/masheikh wamefichwa hata wasome miaka 35 katika masinagogi , mahekalu, misikiti , vyuo vyao tajwa huko nje, mswahili hutopewa hiyo elimu kubwa iliyomo ktk imani zao za kigeni iwezayo kufanya makubwa ya kushangaza
Simply put, the cloud is the Internet—more specifically, it's all of the things you can access remotely over the Internet. When something is in the cloud, it means it's stored on Internet servers instead of your computer's hard drive. Watch the video below to learn more about the cloud.Hebrews 12:1 — The New International Version (NIV)
1 Therefore, since we are surrounded by such a great cloud of witnesses, let us throw off everything that hinders and the sin that so easily entangles. And let us run with perseverance the race marked out for us