Internet ilikuwepo kabla ya Kristo?

Huu ni ukweli mtupu
 
Uwe unajiongeza , usiwe kama chizi , Umeme naozungumzia ni unaotumika katika matumizi ya kawaida kama wa majumbani , hapa siongelei umeme wa mwili na umeme uliopo kwenye nywele
hata sikumbuki nilikuwa nimelewa balaa, hebu fafanua umeme unaongelea wewe ni ngoma (vvu) au ule umeme wa mtera? Jamaa mbishi sana mpaka una bold maandishi..una kipaji
 
Umeme ulikuwepo tangu kuumbwa kwa ulimwengu eg radi, viumbe hai vyote vina mfumo wa umeme
... na Mfumo wa umeme mwilini ukigoma you are in trouble my friend.
 
hata sikumbuki nilikuwa nimelewa balaa, hebu fafanua umeme unaongelea wewe ni ngoma (vvu) au ule umeme wa mtera? Jamaa mbishi sana mpaka una bold maandishi..una kipaji
Ha ha wewe jama ni hatari etii umeme NGoma a.k.a VVU
 
Kuna vitu vingi vimefichwa ili watu wasivifahamu ili kurinda maslai ya baadhi ya watu/kikundi flan.

“The one who seeks should not cease seeking until he finds, And when he finds, he will be dismayed, And when he is dismayed, he will be astonished, And he will be king over the All.”
 
Yeah upo vizuri nilitegemea hayo kutoka kwako

Thanks
 
How can one put a horse ( quote umeme) before the cart ( internet)?
 
Yesu kazaliwa tarehe ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…