Umeanza kuleta mipasho, hesabu zimekushinda..wakenya wa siku hizi ni very easy..so sad
Sasa mbona hueleweki tunazungumzia router au cheap internet..!!mbona unakuwa kama mlevi hauelewi unataka nini hasaZantel hahaaaa!!!zantel wako na router?manake zuku wao wankuja wanakuunganishia kila kitu..wewe unabaki ku slide tu
Mchawi ashakarika[emoji23][emoji23]Hivi mkiwaga wakumbafu huwa mnaona kila mtu ni mbumbumbu eeeh.
Most people i know stream movies kwa simu zao, watahamishia kwa screen kubwa wakipenda. But kampuni za simu zinatoa very cheap data.fiber is more cheap and its unlimited so how do you guys stream movies?
Sasa mbona hueleweki tunazungumzia router au cheap internet..!!mbona unakuwa kama mlevi hauelewi unataka nini hasa
We ndio hujielwei km unataka kuongea point...eti halotel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]si heri ungenitajia voda ningelikuheshimu bro...
ko walidanganya?We wacha ujinga...internet kenya ni rahisi...
Tueleze vizuri hio 4Gb ni kwa siku/masaa mangapi?? screeshot uliotoa haionyeshi hio 4Gb ni kwa mda gani na ni kamuni gani😂😂😂 Huwa vinajidanganya sana bado havijui Tanzania ni zaidi ya waijuavyo
Aje hapa sasa atuambie ni lini 4Gb Kenya iliuzwa kwa 48 KES, Hapo hata nusu dollar haifiki na ni 4Gb.
Hio ni ya TelkomKE daily bundlesStatistic uchwara kama kawaida.
Lete bei ya 1gb hapo kunya (in $)
Safaricom ni babkubwa si kama kampuni zengine za mitandao, wao hutumia Artificial Intelligence(AI) kupitia Machine learning algorithms ... Uki dial *544# unapata fixed bundle charges... (Lazima ulikua unatumia hii), Lakini uki dial *444# unauziwa bundles kulingana na vile hua unanunua bundles , hizo AI algorithms ndo zina amua utauziwa kwa bei ghani, Kwa mfano kitambo nilikua WIFI yangu nanunua na line ya safaricom, ikafika wakati walikua wananiuzia 2.5GB na $1 kwaasababu nilikua frequent buyer, lakini vile nilihamisha wifi yangu kwa Telkcom na nikaacha kununua bundle za safaricom , sahii wamepunguza wananiuzia 1GB kwa $1...Nimekaa Kenya.
Bundles 500MB ni 100
Tanzania Zantel 1GB kwa 1000 kwa siku 3
Wireless has never been cheaper than fibre.
Unless wewe internet yako ni Whatsapp na JF pekee.
In today's streaming world, Youtube, Netflix etc.. Hauwezi tumia chini ya 100 GB per month.
The fact that unasema kwamba organizations ndio hutumia fibre sana, inaonyesha kwamba nyinyi ni LDC.
In developed countries, almost every home is connected to fibre. Hapa Kenya Safaricom na Zuku wameunganisha hundreds of thousands of homes in Nairobi.
fiber is more cheap and its unlimited so how do you guys stream movies?
Nani kataja halotel???..dah kumbe nazungumza na saa mbovu!!
We jamaa unawivu wa ajabu sana.Upload is 62..your company is trying
Acha ushamba kwani 100GB kwa mwezi huwez tumia kwa wireless???
Yaani kuchimba fiber mpaka kwa wateja 100 na kutumia wireless hadi kwa wateja 100 kipi gharama ni ndogo???
Acha ujinga wewe. Leta screen shot tuoneGive us a break.
Wireless is unreliable.
One moment it is 120 Mbps,
the next moment it is 120 Kbps.
We know how congestion in the network works.
Fibre does not change. Ukilipia speeds za 20Mbps you will get 20 all day every day.
Not 19, not 21.
Keep your LDC mentality to yourself.
100gb is the bare minimum. For most its in the region of 500gb.
Fibre guarantees same speed everyday. Wireless can give you 100kbps right now and 5mbps 10 minutes later.
Wireless has congestion, fibre has none.
Laying fibre infrastructure is expensive, that's why LDCs don't have it.
But in the long run, fibre is cheaper to operate.
Leta mfano kama huuGive us a break.
Wireless is unreliable.
One moment it is 120 Mbps,
the next moment it is 120 Kbps.
We know how congestion in the network works.
Fibre does not change. Ukilipia speeds za 20Mbps you will get 20 all day every day.
Not 19, not 21.