Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

Sijui mkuu, ila nimesoma BBC wana re route traffic kwenda waya zingine ambazo hazipitii huko msumbiji, maybe kuna website muhimu muhimu kwao wamezipa priority traffic zake. Ila jf imerudi kwa speed nzuri.
Ninachojiuliza ni kwamba Impact kwa nchi nyingine zilizomkaribisha elon na starlink yake iko vp? Mfano kenya? Nao wamekua disrupted kama sisi?

Nauliza hvo sababu ili kupata huduma fln inategemea huyo provider wako na yeye kama ana connection, mfano kama webserver ipo tz, na internet imekatwa kwa tz, mtu aliepo marekani hata kama yupo kwenye connection 100mbps hatoipata hio webserver
 
Tumefikia mahali ambapo siyo tena "mchana nzi, usiku mbu", tupo hivyo jabisa hata nzi na mbu wamekosa nidhamu, tupo"iwe mchana iwe usiku, nzi na mbu wapo muda wote".
 
Ninachojiuliza ni kwamba Impact kwa nchi nyingine zilizomkaribisha elon na starlink yake iko vp? Mfano kenya? Nao wamekua disrupted kama sisi?

Nauliza hvo sababu ili kupata huduma fln inategemea huyo provider wako na yeye kama ana connection, mfano kama webserver ipo tz, na internet imekatwa kwa tz, mtu aliepo marekani hata kama yupo kwenye connection 100mbps hatoipata hio webserver
sisi ni vile hatuna mchango mkubwa ndio maana dunia haijaathirika sana. Ila mwenye Starlink ama Satelite internet yoyote atakua hajaathirika, ama anayetumia route ambayo haijakatika maana zipo undersea cable zaidi ya 10.

hapa inaonekana sisi tumebeti njia moja tu
african_cable_map_manypossibility_202007.png


Hizi cable zipo nyingi, na kuna mdau kaposti Tigo pekee ndio wana Alternate route ya Madagascar, kwenye hio Ramani ina maana ni hio link ya 1.2TBps, so Isp wetu wote walikua wanategemea hio iliokatika.

Kenya Hawajaathirika kama sisi probably sababu wanatumia Route zaidi ya moja.
 
sisi ni vile hatuna mchango mkubwa ndio maana dunia haijaathirika sana. Ila mwenye Starlink ama Satelite internet yoyote atakua hajaathirika, ama anayetumia route ambayo haijakatika maana zipo undersea cable zaidi ya 10.

hapa inaonekana sisi tumebeti njia moja tu
african_cable_map_manypossibility_202007.png


Hizi cable zipo nyingi, na kuna mdau kaposti Tigo pekee ndio wana Alternate route ya Madagascar, kwenye hio Ramani ina maana ni hio link ya 1.2TBps, so Isp wetu wote walikua wanategemea hio iliokatika.

Kenya Hawajaathirika kama sisi probably sababu wanatumia Route zaidi ya moja.
Anhaaa.. nimekupata mkuu. Shukran.
 
Changamoto hii fault sio ya tigo, voda, airtel wala halotel kwanini wao wawe responsible?
wewe ukinunua vitu dukani ukaviacha uvipitie ukirudi.
uliporudi ukakuta duka limefungwa mwenyekiti kaitisha kikao cha wafanya biashara.
je utasamehe vitu vyako sababu aloitish kikao ni mwenyekiti au utakuja kesho kufata mzigo wako?
 
Sasa ikiwa mimi nimewalipa wao kwa ajili ya kupata huduma kwanini wasie responsible.
Au daktari ndio atakua responsible?
Usichokoelewa ni kimoja wao wenyewe ni wateja kama wewe wa hii huduma ya internet na fault haipo katika control yao
 
Nimeambiwa bando langu limefika ukomo yaani muda umeisha just agine MB za Voda eeti ziishe muda wake kabisa. Nafikiria kuomba refund maana ni shida yao ndio imefanya nisitumie bando langu kwaa wakati au ndio nao watasema hawahusiki ni nywaya huko baharini.
 
Back
Top Bottom