Internet provider Kwa fiber

Internet provider Kwa fiber

Nikitaka niweze Ku provide fiber niwe internet provider Kwa kijiji kidogo mfano nyumba 200..
Natakiwa nifanyeje..?
Nianzie wapi?
Kwa wewe mdogo kuna kitu kinaitwa MVNO, mobile virtual network operator,

Hapa unakua unanunua data kwa bulk toka kwa Isp na kuuza kwa vifurushi vyako. Mfano wa MVNO ni uhuru one, walikuwepo sana Kkoo hawa walikuwa wakinunua Toka Tigo, Hivyo Angalia eneo lako kama kuna Supplier yoyote wa maana kama TTCL anaweza kukuuzia kwa Jumla.
 
Kwa wewe mdogo kuna kitu kinaitwa MVNO, mobile virtual network operator,

Hapa unakua unanunua data kwa bulk toka kwa Isp na kuuza kwa vifurushi vyako. Mfano wa MVNO ni uhuru one, walikuwepo sana Kkoo hawa walikuwa wakinunua Toka Tigo, Hivyo Angalia eneo lako kama kuna Supplier yoyote wa maana kama TTCL anaweza kukuuzia kwa Jumla.

Ni lazima ninunue kutoka makampuni ya simu?
Siwezi kuwa internet provider bila kushirikiana na kampuni za simu
Pale UCC udsm wanatoa wapi internet yao?
 
Ni lazima ninunue kutoka makampuni ya simu?
Siwezi kuwa internet provider bila kushirikiana na kampuni za simu
Pale UCC udsm wanatoa wapi internet yao?
Tatizo hio keyword kijiji,

Waya asili zake ni baharini tena kwenye majiji makubwa, mtu kutandaza nyaya mpaka kijijini ni gharama sana, kampuni nyingi za fiber tupu hata mwananyamala hapo huzikuti, hivyo kijijini ngumu kufika unless ni haya makampuni makubwa ya simu.
 
Tatizo hio keyword kijiji,

Waya asili zake ni baharini tena kwenye majiji makubwa, mtu kutandaza nyaya mpaka kijijini ni gharama sana, kampuni nyingi za fiber tupu hata mwananyamala hapo huzikuti, hivyo kijijini ngumu kufika unless ni haya makampuni makubwa ya simu.

Hakuna technology ya kupata internet Kwa satellite mfano halafu wewe ndo ukasambaza Kwa fiber?
 
Hakuna technology ya kupata internet Kwa satellite mfano halafu wewe ndo ukasambaza Kwa fiber?
Tusubiri starlink mkuu maananimeona internet yao tamu sana speed ya kutosha na huhitaji hata mtaalamu kuifunga satelite dish inajigeuza yenyewe ikishanasa satelite kwisha habari
 
Tusubiri starlink mkuu maananimeona internet yao tamu sana speed ya kutosha na huhitaji hata mtaalamu kuifunga satelite dish inajigeuza yenyewe ikishanasa satelite kwisha habari

Nipe elimu zaidi please
 
Back
Top Bottom