Sio tu smartphone, matumizi ya internet yanaweza kuwa extended zaidi.Yaani mfano Zuku wangekuwa wamefika Kibamba, Mpiji Magohe, Mbezi Msakuzi nk wangezoa sana wateja. Sawa ni nje ya mji ila siku hizi wakazi karibu wote wana smartphones, na smartphone bila internet - hakuna kitu. Makampuni ya simu bei zao ni katili ila wananchi wanakomaa nazo. Wawekezaji fungukeni, wateja wapo.
Yeah, watu kariakoo siku hizi hawalipi ving'amuzi, ni mwendo wa streaming mwanzo mwisho.Sio tu smartphone, matumizi ya internet yanaweza kuwa extended zaidi.
Siku hizi kuna Smart TV
Haya makampuni sijui kwanini yana jazana sehemu moja na kuacha maeneo mengi yenye uhitaji mkubwa wa internet.
Goba je?Bunju yote mkuu
Zuku Bei ganiYaani mfano Zuku wangekuwa wamefika Kibamba, Mpiji Magohe, Mbezi Msakuzi nk wangezoa sana wateja. Sawa ni nje ya mji ila siku hizi wakazi karibu wote wana smartphones, na smartphone bila internet - hakuna kitu. Makampuni ya simu bei zao ni katili ila wananchi wanakomaa nazo. Wawekezaji fungukeni, wateja wapo.
unajibu kwa busara sana... Jitahidi hivo hivo si unajua tena watu na fake ID zao...Radio mkuu.
dah! Watu mmechafukwa... Pole sana mkuu... Kwa kauli yako nahis kukuombea upate kazi nzuri...Mkuu hakuna nafasi hata ya kupiga dei waka hapo kwenye kampuni yako mkuu
jirani yangu wa kule goba hakuwa mtu wa kawaidaGoba je?
Kariakoo kuna Internet kwa hisani ya fiber au wana stream namna gani? Kasi yake ikoje? Hata mimi siku hizi ni mwendo wa ku-stream tu, IPTV. Naweza kuangalia almost TV za nchi karibu zote.Yeah, watu kariakoo siku hizi hawalipi ving'amuzi, ni mwendo wa streaming mwanzo mwisho.
Wawekezaji njooni huku mnakukuona remote sana.. wateja wapo
Onyesha vifurushi,Tegeta,Mbweni,Makumbusho,kinondoni,kijitonyama,Mwananyamala,Mikocheni,kawe,Sinza,Magomeni,Msasani,Masaki,Morroco,Mwenge,Makongo juu...
Siyo gharama za kuweka infrastructure zao ziko juu kweli? Na pia wateja wanaweza kuwa wachache hasa sehemu za Uswazi. Kwa mfano fiber utaipitisha namna gani huko Uswazi kusiko na mipango miji? Kwa kutumia milingoti kama umeme?Sio tu smartphone, matumizi ya internet yanaweza kuwa extended zaidi.
Siku hizi kuna Smart TV
Haya makampuni sijui kwanini yana jazana sehemu moja na kuacha maeneo mengi yenye uhitaji mkubwa wa internet.
Policy yao ni kuwa sehemu yeyote wakitokea wanaohitaji zaidi ya 10 wanakuja kuwafungia.Siyo gharama za kuweka infrastructure zao ziko juu kweli? Na pia wateja wanaweza kuwa wachache hasa sehemu za Uswazi. Kwa mfano fiber utaipitisha namna gani huko Uswazi kusiko na mipango miji? Kwa kutumia milingoti kama umeme?
Package zetu zitakuwa rafiki na nafuu sana. Tunasibiria TCRA license. Kwa sasa installation ya towers inaendeleaYaani hizi ngonjera zote zikiendelea tutajikuta page ya 100 bila kupata Jibu La maana Kuliko yote.....
BEI ZENU NA PACKAGE ZENU ZIPOJE ?
Upo sawa kabisa kaka, kufunga tower ni gharam maana kuna umeme unalipia, hivyo ukisambaza fomu watu wakafika angalau kumi ni rahisi kuja kuwafungia radio yao hapo wote wa eneo hilo wakanufaika. Karibu sanaPolicy yao ni kuwa sehemu yeyote wakitokea wanaohitaji zaidi ya 10 wanakuja kuwafungia.
Maana yake hapo kikwazo sio mji kutopangika vizuri na ndio maana Kigamboni ambako kumepangiliwa vizuri bado hakuna makampuni yaliyowekeza huko.
Ni sawa na Gofiber nao wana sera hizo hizo nilijaza fomu online nikapigiwa simu kuwa ili waje kuleta fiber katika maeneo ambayo nipo wanatakiwa watu wanaoomba wawe zaidi ya kumi.
Akaniambia niendelee kushawishi watu wazidi kutuma maombi kama nilivyofanya mimi.
Wakati watu wengine huku mtaani wanaweza wasijue nini maana ya fiber ila wakikuona wewe unatumia internet unlimited kwa gharama nafuu wanaweza kukuulizia ili nao wapate.
haya karbun SanTutafika mkuu
Tunataka kujua packages zenu zipoje na bei zake mnauzaje.Upo sawa kabisa kaka, kufunga tower ni gharam maana kuna umeme unalipia, hivyo ukisambaza fomu watu wakafika angalau kumi ni rahisi kuja kuwafungia radio yao hapo wote wa eneo hilo wakanufaika. Karibu sana
Zitakuwa??Package zetu zitakuwa rafiki na nafuu sana. Tunasibiria TCRA license. Kwa sasa installation ya towers inaendelea
Scars package tutakubaliana na mteja, anataka speed gan? Na matumizi yake yapoje? Mfano anataka kwaajili ya home kucheki movie, kuperuzi, na matumiz ya smartphone kawaida. Atapewa speed inayoendana na matumizi yake kwa bei rafiki na nafuu sanaTunataka kujua packages zenu zipoje na bei zake mnauzaje.
Hili ndio swali la msingi kwa wakati huu