INTERNET SPEED: Tuone internet speed Yako ya leo

INTERNET SPEED: Tuone internet speed Yako ya leo

1000036076.jpg
 
Nje ya mada bro..

Samahani, nlkua natumia JF kwenye Tapatalk sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nashindwa kupata notifications za JF kwenye Tapatalk ikanibidi ni logout na kulogin ila nikawa nashindwa kuconnect Tapatalk na JF kwa email kama zamani naambiwa Verifying with no response. Nikaona isiwe shida kuna option ya kuconnect manually ila sasa nmeconnect ila sipati notifications kabisa za JF kwenye Tapatalk kama zamani, nmeona ww unatumia Tapatalk vipi unatumiaje? Unapata notifications kama kawa?

Mimi natumia hapa ila haipush notifications kabisa zozote za JF na kila kitu nmeset ON hasa upande wa notifications.
Screenshot_20240211-155554.jpg
 
Nje ya mada bro..

Samahani, nlkua natumia JF kwenye Tapatalk sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nashindwa kupata notifications za JF kwenye Tapatalk ikanibidi ni logout na kulogin ila nikawa nashindwa kuconnect Tapatalk na JF kwa email kama zamani naambiwa Verifying with no response. Nikaona isiwe shida kuna option ya kuconnect manually ila sasa nmeconnect ila sipati notifications kabisa za JF kwenye Tapatalk kama zamani, nmeona ww unatumia Tapatalk vipi unatumiaje? Unapata notifications kama kawa?

Mimi natumia hapa ila haipush notifications kabisa zozote za JF na kila kitu nmeset ON hasa upande wa notifications.
View attachment 2900827
Situmii tapa talk mkuu, mda sana sija tumia.

Umejaribu kutumia Pwa? Unaingia jf kwa browser Kubwa kama Firefox kisha unabonyeza menu ya Firefox unachagua install unaweka hio Pwa (progressive web app) inakua ni kama browser kawaida ila utapata notifications na features za ziada.
 
Situmii tapa talk mkuu, mda sana sija tumia.

Umejaribu kutumia Pwa? Unaingia jf kwa browser Kubwa kama Firefox kisha unabonyeza menu ya Firefox unachagua install unaweka hio Pwa (progressive web app) inakua ni kama browser kawaida ila utapata notifications na features za ziada.
😃😃 Nlkua kwenye TapaTalk nmeona ka icon ka Tapatalk kwenye account yako nikajua unatumia! Hapa natumia android ila nmelogin kwenye browser na nika install asa PWA sema sijazoea kabisa! Nlkua nmeizoea Tapatalk, N'way ngoja nijizoeze mdogo mdogo labda ntazoea...

Shukrani.
 
Hivi bado Kuna internet cafe Sehemu nayoweza kupakua mafile na kurusha kwenye flash or simu Kwa maeneo haya

Ukongo
Gongo la mboto
Mombasa
Banana
 
Back
Top Bottom