Internet ya kumwaga Kenya, tena ya bei nafuu

Internet ya kumwaga Kenya, tena ya bei nafuu

Watz;-- " tenga chakula mezani". Wakenya; -" weka chakula kwa meza"

Watz;--"Wapangaji wamegoma kutoka ndani ya nyumba".
Wakenya;---"Wapangaji wamedinda kutoka kwa nyumba".

Hiyo ni mifano michache tu ya sentensi za kiswahili ambazo kwazo kwa kutamka unaweza kumtambua Mtz na Mkenya, pia lafudhi ni tofauti.
Haha sawa mkuu.
 
Katika hiyo Sentensi yako, Mtz angeandika hivi; "labda useme kinachotofautisha ni lafudhi.

Pamoja na utofauti wa lafudhi lakini pia huwezi kupinga utofauti wa matumizi ya maneno na uundaji wa sentensi kwa watz na Wakenya.
Upo sahihi. Kuna tofauti ya muundo wa sentensi kati ya Tz na Ke. Ila Wapwani wa Kenya wanaongea kiswahili sanifu sawia na Wazanzibari.
 
Back
Top Bottom