komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Rafuzi...mtzKatika hiyo Sentensi yako, Mtz angeandika hivi; "labda useme kinachotofautisha ni lafudhi.
Pamoja na utofauti wa lafudhi lakini pia huwezi kupinga utofauti wa matumizi ya maneno na uundaji wa sentensi kwa watz na Wakenya.
Sent using Jamii Forums mobile app