Internship and part time jobs for university students

Internship and part time jobs for university students

xir jyerphy

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
994
Reaction score
184
Habari GT
katika pitapita zangu humu educational forum,kuna topic fulani ya 2011 inayohusu ukosefu wa ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu..kuna post nzuri ambayo GT mmoja aliileta ili kusaidia wanafunzi wa mavyuoni kuepukana na tatizo la ajira..

Namnukuu
"Ni vizuri zaidi mwanachuo awapo chuoni ajihusishe na internship na part time jobs,hii itamjengea ustadi mzuri katika fani yake na kumwezesha kupata connections nyingi,hivyo kumrahisishia upatikanaji wa ajira pindi amalizapo chuo"
Wakuu ningeomba mnijuze yafuatayo;
1.je hii mbinu inawezekana/inatumika katika system ya elimu ya tanzania
2.kama (ndio) je ni vipi mwanafunzi anaweza kubalance ratiba ya masomo na ratiba ya kazi,,kama (hapana) je ni njia gani linaweza kutatua tatizo la ukosefu wa ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu

Nawasilisha
 
we si kipanga wa UDSM una wasi wasi gani sasa,je na sisi wa TEKU tusemeje?


Nani kasema wasoma udsm wote wana uhakika wa ajira!! By the way msaada huu si kwa ajili yangu pekee, bali ni kwa vijana wote wa mavyuoni wanaotegemea kusoma na kuingia kwenye michakato ya kupambana na nature ya maisha ya kitanzani
 
Kama hauna mchango ni bora usome na kupita tu sio kuchangia vitu visivyo na mantiki...sitaki ligi mkuu

haina mantiki ndio maana watu wana iview na kuiacha kama ilivyo
ok ngoja nikuongezee idadi ya comment
 
nadhani ina mantiki, ni kweli unaweza ukajihusisha na part time job provided kwamba si kila siku utakua unaenda, weza kuchagua siku mbili au tatu katika wiki, ofisi au mahala ambapo unafanyia internship pawe ama ni chuoni au karibu na chuo..wengi inawapa tabu hasa pale ambapo stress za masomo zinapozidi, labda uwe unafanya kila inapofika likizo kubwa ..
 
kama nimekuelewa vizuri, ni vizuri kufanya internship - na kwa mfumo wetu hapa Tanzania (sijui ni wa elimu au vipi) intership hufanyika kwa mfumo wa field Practical/attachments - na hii inatofautiana na chuo na chuo, before Mzumbe -IDM walikuwa wanafanya kwa miezi 4 na UDSM walikuwa wanafanya mwezi 1 wakati wa Likizo,wakati Mzumbe walikuwa wakifanya kozi zote UDSM walikuwa wanafanya Engeringa na Education na Laws peke yake, nasikia siku hizi wote (UDSM) wanafanya hio Internship ila sijui MZUMBE na vyuo vingine mfumo upoje siku hizi?
Ninachotaka kusema ni kuwa Internship ilikuwa inafanyika na inafanyika - lengo likiwa ni kuwapa uzoefu wanafunzi na kwa maana hio hakukuwa na tatizo la kubalance masomo na internship maana vyote vilikuwa vinakwenda pamoja na vilitegemeana, ila kwa temporary job nadhani itakuwa ngumu kwa mfumo wa masomo yetu na kwa uhaba wa kazi ama taasisi za kuweza kuajiri watu inakuwa vigumu kupata kazi za muda
 
nadhani ina mantiki, ni kweli unaweza ukajihusisha na part time job provided kwamba si kila siku utakua unaenda, weza kuchagua siku mbili au tatu katika wiki, ofisi au mahala ambapo unafanyia internship pawe ama ni chuoni au karibu na chuo..wengi inawapa tabu hasa pale ambapo stress za masomo zinapozidi, labda uwe unafanya kila inapofika likizo kubwa ..


Mimi naona kama ingewezekana,mfumo wa elimu ya juu ingeipa internship system kipaumbele katika mihula ya masomo ili kuwawezesha wanafunzi kuwa hodari katika fani zao na kuwarahisishia ushindani katika soko la ajira...
Pia kama uwezekano upo,attachment studies zingekuwa zinafanyika kwa wahitimu wa vyuo vikuu
 
kama nimekuelewa vizuri, ni vizuri kufanya internship - na kwa mfumo wetu hapa Tanzania (sijui ni wa elimu au vipi) intership hufanyika kwa mfumo wa field Practical/attachments - na hii inatofautiana na chuo na chuo, before Mzumbe -IDM walikuwa wanafanya kwa miezi 4 na UDSM walikuwa wanafanya mwezi 1 wakati wa Likizo,wakati Mzumbe walikuwa wakifanya kozi zote UDSM walikuwa wanafanya Engeringa na Education na Laws peke yake, nasikia siku hizi wote (UDSM) wanafanya hio Internship ila sijui MZUMBE na vyuo vingine mfumo upoje siku hizi?
Ninachotaka kusema ni kuwa Internship ilikuwa inafanyika na inafanyika - lengo likiwa ni kuwapa uzoefu wanafunzi na kwa maana hio hakukuwa na tatizo la kubalance masomo na internship maana vyote vilikuwa vinakwenda pamoja na vilitegemeana, ila kwa temporary job nadhani itakuwa ngumu kwa mfumo wa masomo yetu na kwa uhaba wa kazi ama taasisi za kuweza kuajiri watu inakuwa vigumu kupata kazi za muda

Nimepata darasa mkuu,.huu mfumo wa internship unatofauti gani na field study
 
haina mantiki ndio maana watu wana iview na kuiacha kama ilivyo
ok ngoja nikuongezee idadi ya comment

Usipende kujishushia heshima,kama haina mantiki soma kisha uondoke zako...sitaki ligi coz naona unataka kupoteza dhima ya mada husika
 
ni kweli internship ni muhim sana kwa mwanafunzi kwani inamjengeya xperience ya kazi!kwa tunaosma engineering cjui kwa kozi nyingine tcu wameweka utaratib kwamba miaka yote(kuanziya mwaka wa kwanza hadi wanne) lazima twende field!na techical report lazima uwandike baada ya kumaliza field kwani inachangiya ktk GPA yako
 
ni kweli internship ni muhim sana kwa mwanafunzi kwani inamjengeya xperience ya kazi!kwa tunaosma engineering cjui kwa kozi nyingine tcu wameweka utaratib kwamba miaka yote(kuanziya mwaka wa kwanza hadi wanne) lazima twende field!na techical report lazima uwandike baada ya kumaliza field kwani inachangiya ktk GPA yako

mbaruck nashukuru kwa mchango wako,but nina swali 1 la msingi
Hizi internship mnazifanya at the same time mnafanya na field??ama ukifanya internship ndo na field umefanya..
 
Last edited by a moderator:
I've never thought that you can be such undesirable dude,I classify you as a person of borderline intelligence with total mental retardation...WTF-FTW you..

all in all through this comment i have proved that you have poor thinking capacity
a true great thinker can not progress with foolishness comment like this
but not i thinks its pre mature age still disturbing u..!
 
I've never thought that you can be such undesirable dude,I classify you as a person of borderline intelligence with total mental retardation...WTF-FTW you..

ah ah ah ah umenifurahisha sana kiongozi...kweli jf cku zote ni sehemu ya kuondoa stress ah ah ah
 
all in all through this comment i have proved that you have poor thinking capacity
a true great thinker can not progress with foolishness comment like this
but not i thinks its pre mature age still disturbing u..!

ok fine I have poor thinking capacity,but mediator will judge how exremely foolish and feeble minded you are...WTF-FTW you
 
Vyuo vingi wanafunzi hufanya practical training, baadhi hufanya wakiwa mwaka wa kwanza au wapili (hutegemea na kozi).

Tatizo ni kwamba field hufanywa kwa muda mfupi miezi mmoja hadi miwili amboyo haimpi mwanafunzi uzoefu wakutosha.

Njia mbadala ya kupata uzoefu ni kufanya part time jobs lkn wanafunzi wengi hushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya kukosa mwongozo.
 
Back
Top Bottom