Internship and part time jobs for university students



Great contribution:
Sasa mkuu ni kivipi tunaweza kupats huu mwongozo hasa katika kipindi hiki ambacho tunaandaa katiba mpya ili kusudi tuweze kutoa wahitimu wenye tija katika jatii
 
Nimepata darasa mkuu,.huu mfumo wa internship unatofauti gani na field study

Mnachanganya internship na field. Internship ni pale mtu anapokuwa amehitimu masomo yake na kwenda kufanya kazi chini ya uangalizi. Hii hutumika hasa pale mtu anapohitaji kupata usajili wa mamlaka fulani mf daktari aliyesajiliwa, wakili(siku hizi wanafanya law school) nk. Na field ni pale mwanafunzi anapofanya mazoezi kwa vitendo ili kuwa exposed na jambo fulani.
 
Tafuteni ujuzi humu jf sio kutukanana humu ,matusi hayasaidii.
 

There you are, Vipi kuhusu attachment studies
 
Mimi nadhani haya ni majina tu, kwa walimu - walio mafunzoni wanaita nadhani "BTP" - kama nimekosea watanisahihisha wakiwa na maana Block Teaching Practice, na hufanywa na walimu walio mafunzoni hasa wa vyuo diploma na cheti wakiwa likizo. Mzumbe wao walikuwa wanaita research,UDSM walikuwa wanasema "Field" au "practical training" au "field attachment" lakini kama nilivyosema kuwa yote ni majina na yakiwa na maana kuwa - kwa kipindi fulani "wiki,mwezi au mwaka" utakuwa/ umepangiwa taasisi,ofisi, shirika au kampuni fulani na kufanya mafunzo kwa vitendo ili ulinganishe yanayofundishwa shuleni na uhalisia huko duniani, nadhani ni exposure nzuri kama itakuwa imepangwa vizuri na si kama ilivyo sasa,haithaminiwi
Nimepata darasa mkuu,.huu mfumo wa internship unatofauti gani na field study
 
Naogopa kutofautiana na wewe
 

inategemea na kozi unayosoma kuna baadhi ya kozi huwezi kupata mda huo kutokana na nature ya msuli ... kwa hiyo angalia nature ya msuli kama unaruhusu fanya ...
 
inategemea na kozi unayosoma kuna baadhi ya kozi huwezi kupata mda huo kutokana na nature ya msuli ... kwa hiyo angalia nature ya msuli kama unaruhusu fanya ...


Powah mkuu hebu tufahamishe ni aina gani ya masomo ambayo mwanafunzi anaweza kufanya part time job
 

Prominent and ourstanding idea,thanks
 
mbaruck nashukuru kwa mchango wako,but nina swali 1 la msingi
Hizi internship mnazifanya at the same time mnafanya na field??ama ukifanya internship ndo na field umefanya..

utaratibu wa Internship ni mzuri kwa University gradu. na hata kwa serikali kwa ujumla. Huu utaratibu sasa hivi umebaki kwenye fani ya Afya tu(1year), zamani uliuwepo kwenye fani ya sheria(6 months) lkn baada ya introdu. of Law sachool graduates wote wa Law wakishapitia hiyo basi wanakuwa mawakili na wanaweza kujiajiri au kuajiriwa na serikali.

Internship inamsaidia gradu. aweze kuzoea mazingira ya kazi na kwa upande mwingine ingeweza kusaidia serikali kupunguza shortage ya H.R (rasilimali watu). Tofauti na Field ambayo yenyewe mwanafunzi anakuwa hajafuzu masomo yote na anakuwa field kwa ajili ya kujifunza tu i.e kama ilivyokufanya practical za chemistry.@ xir jyerphy
 


Safi sana bro. Chemiker,.kwanini hii system haiingizwi kwenye fani zingine kama accounts,education,agriculture,engineering nk
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Safi sana bro. Chemiker,.kwanini hii system haiingizwi kwenye fani zingine kama accounts,education,agriculture,engineering nk

Nashukuru, Serikali na Wadau hawajajipanga vyema.Nilikuwa na rafiki yangu Mjerumani alikuwa undergraduate alikuja kufanya internship yake S.A yaani mpaka nilikuwa naona wivu.Angekuwa upo Tz ungekuta kashachukua gamba lake la Degree maana alikuwa anafanya mambo ya Logistics.Mbaya zaidi alikuwa anasema akimaliza tu anaweza akafungua company yake maana ameshapata kaujuzi ka kumtosha.

Lkn Tz watu wengi wanasoma ili kupata cheti tu, matokeo yake wakipata hivyo vyeti haviwezi kuwasaidia.Yaani unakuta mwingine yupo radhi alipe tu hiyo Fees na kuchukua cheti chake kwenda mtaani kumbe tunajiharibia wenyewe future zetu kwa kukosa Know-ledge ya kutosha hata kujiajiri.
@xir jyerphy
 
internship inawezekana na unaweza bana muda wako wa masomo vzur....bt it depends na mkataba kati yako ww na hyo manager..wachache sana n waelewa n wanaweza kuruhus io kituuuuu,kufanya kaz kwa masaa machache ambayo utahis ww upo freee,bt dis z much aplicable kwa nch za wengne cjajua kwa hapa tz...ila kuna baadh ya vyuo wanatoa lkizo kwa mda mrefu,hvyo bas huo muda wa likzo ndio muhimu kwako ww kjtengenezea ajra bdaeeee...eg.mzumbe wana likizo za muda mrefu xana kama miezi mi4 iv tofaut na field ,,,,,kwa mtu ambae znasoma kichwan hio ndo tym ya kufanya part tym jobs na kmake chanelz za kaziii aftr chuoooo..
 


Great lesson to learn...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…