Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani lakini kama lengo lao ndilo hilo nawapa angalizo, wakati unamulika nyoka kwenye nyumba ya nyasi kwa kutumia ukuni wa moto hakikisha mlango uko wazi.
Nadhani Kikwete na serikali yake wanatafuta pa kuanzia kwa Lowasa na Chenge kwa mtindo huo baada ya kuona PCCB na Polisi wa ndani ni watu wake na wanakosa weledi wa kadi
Ikiwa hivyo hata yeye JK hataweza kupona make ni lazima akina EL na EC watataka kurevenge
Hivi mnajua mkubwa wa Interpool hapa TZ ni nani?
Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani lakini kama lengo lao ndilo hilo nawapa angalizo, wakati unamulika nyoka kwenye nyumba ya nyasi kwa kutumia ukuni wa moto hakikisha mlango uko wazi.
Mkubwa wa Interpol Tanzania ni IGP Mwema, na ndio ilikuwa kazi yake kabla ya kupewa uIGP.