Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani lakini kama lengo lao ndilo hilo nawapa angalizo, wakati unamulika nyoka kwenye nyumba ya nyasi kwa kutumia ukuni wa moto hakikisha mlango uko wazi.
Nadhani Kikwete na serikali yake wanatafuta pa kuanzia kwa Lowasa na Chenge kwa mtindo huo baada ya kuona PCCB na Polisi wa ndani ni watu wake na wanakosa weledi wa kadi