Interview:kwa cv kama hii nakupa kazi

we nae kiingereza mayi olo. 'He is real deserve' ndo nn.
 
kweli kabisa dunia ni mapambano tupambane adi tone la mwsho ata msio na kazi mskate tamaa ila mkpata jtaidn mjiajiri mapema mstegemee kukaa kazn adi mstaafu hayo yalkuwa malengo ya wazee wetu ukpata kazi 7yrs znakutosha kijpanga
 
Nimeipenda! jamaa alikuwa real nadhani waliona wampe ili athibitishe kipaji chake!
Hata hivyo amejitahidi. Wa hapa kwetu wa shule za kata za ccm huwezi hata kuelewa dhumuni lake, maana hata kusoma na kuandika kiswahili hawajui kabisaaa!
 
He was very serious, and this is note a joke my friend, stop kidding others!!I like this gentleman. I wish if I would get him so you may crosscheck and find out the truth.

With Every Blessing!!
 
Ebana jamaa yupo vizur akiwezeshwa anaweza mana english ni lugha tu sio akili na ufanisi
 
Curriculum Vityae

.I am experience for 2 years. I short thief dead. I want to join the company of you and chase criminal out with me AK47.

Hata mimi ningempa kazi huyu bwana maana ni balaa, kumbe sisi wabongo tunafikiri hatujui kizungu kumbe na wenzetu hivyo hivyo. Uzuri kafunguka hapo mwisho kasema English is not his mother "LAND" hehehe
 
hayo ndo mambo ukweli na uwaz ndio mpango mzima wahenga husemaaa...mficha uchi hazai so mambo hadharani kasaidiwa
 
Daring people! Hivi mlipokamat tu digrii ya ujana (bachelor) hamkuthubutu kuomba kazi ya deputy county representative?
 
Hizi ndo CV anazotakiwa kupokea Bwana Patakazi
 
Lol, umenikumbusha mbali Herald, inafurahisha kwani ujumbe wake ilifika japo english not motherland!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…