Leo nimeudhuria written interview pale MNMA, na nimeona pepa lao kama lilikuwa fair ivi. Na kilichonifurahisha ni kuwa utumishi wamebadilika bwana! Kabla hatujaondoka tumeambiwa kuwa kuanzia sa tisa tutembelee web yao kuona matokeo! Naona malalamiko ya wadau yamefanyiwa kazi. Matokeo kwenye web!! hiyo ni hatua kubwa kwa kweli, nawapongeza sana!