Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana kwa waliochaguliwa na tunashukuru sana kwa uzi hii ila poleni sana Wale ndugu zetu tunaoabudu siku ya Jumamosi na Jumapili (kwa mfano Wasabato ) Jumamosi ya tarehe 14 na 15 Mei itakuwa ni siku za Ibada ya kumwabudu Mungu. Tunaomba Sekretarieti ya Ajira chombo cha Umma chenye heshima sana, tuendeleze tabia ya kujali mila na utamaduni wa nchi yetu wa kwa kuhsehimu siku za ibada kwenye ratiba zenu. Usaili kupangwa siku za Weekend ni mbaya sana, inanyima haki wale ambao wanatumia siku hizo kama siku za Ibada.Kwa mlioomba nafasi husika,jitazameni hapo kama mpo.
Nafikiri la msingi ni usaili ungeendeshwa katika majiji makubwa yote, Arusha, Dom, Mza, Znz, Dar, Mbeya na Moro.Hongera sana kwa waliochaguliwa na tunashukuru sana kwa uzi hii ila poleni sana Wale ndugu zetu tunaoabudu siku ya Jumamosi na Jumapili (kwa mfano Wasabato ) Jumamosi ya tarehe 14 na 15 Mei itakuwa ni siku za Ibada ya kumwabudu Mungu. Tunaomba Sekretarieti ya Ajira chombo cha Umma chenye heshima sana, tuendeleze tabia ya kujali mila na utamaduni wa nchi yetu wa kwa kuhsehimu siku za ibada kwenye ratiba zenu. Usaili kupangwa siku za Weekend ni mbaya sana, inanyima haki wale ambao wanatumia siku hizo kama siku za Ibada.
Tuwaache watu waendele na Ibada na Usaili ufanyike siku za kazi.
Kwakweli mfumo wa Usaili unahitaji kufanyiw Reform kubwa sana, kuanzia ratiba hata maeneo ya usaili.Nadhani wahusika watakuwa wanasikia kilio cha WananchiNafikiri la msingi ni usaili ungeendeshwa katika majiji makubwa yote, Arusha, Dom, Mza, Znz, Dar, Mbeya na Moro.
Moro ni jiji kubwa?Nafikiri la msingi ni usaili ungeendeshwa katika majiji makubwa yote, Arusha, Dom, Mza, Znz, Dar, Mbeya na Moro.
Mimi naona bora wanaita wote wenye vigezo walivyoweka maana wangechukua 50 halafu wewe ukaachwa ungelalamika. Mshukuru Mungu ndugu yangu kwa kuitwa cha msingi jiandae kupambana. Kama Mungu amekupangia kuwa yako itakuwa hivyo tu lakini jiandaeDaah Mungu atusaidie kaka, TTCL post 15 watu walioitwa 700
Yaani ukitoka kwenye usaili unatafuta mganga huko Kondoa ukapigwe chaleKwakweli mfumo wa Usaili unahitaji kufanyiw Reform kubwa sana, kuanzia ratiba hata maeneo ya usaili.Nadhani wahusika watakuwa wanasikia kilio cha Wananchi
Nadhani ifike mahali hata utumishi nao waanze kuchuja watu ,written Waite watu watano kwa nafasi moja na oral Waite watu wawili kwa nafasi moja, hii ya kusema unaita watu 300 kwa nafasi moja sio poa kabisa..pia kila la kheri huko ulikofanya interview Mungu akusaidie upate mkuuJana nilikua kwenye intavyu fulani hivi.
Posts zipo 15 wasailiwa tulioitwa ni 32.
Yaani hata imani ya kutoboa unakua nayo.
Nacheki jina katika hii utumishi naona tupo zaidi ya 300 na post ni 1.
Halafu nilipo ili nifike mji wa kufanya usaili naona kabisa hapa labda nikatengeneze marafiki wapya kama primary goal.
Sina mood ya kubishana. Tustick na kilichotufanya tuingie kwenye huu uziMoro ni jiji kubwa?
AmenNadhani ifike mahali hata utumishi nao waanze kuchuja watu ,written Waite watu watano kwa nafasi moja na oral Waite watu wawili kwa nafasi moja, hii ya kusema unaita watu 300 kwa nafasi moja sio poa kabisa..pia kila la kheri huko ulikofanya interview Mungu akusaidie upate mkuu
Wachache mno hao,yaani mnoooo.Kuna kazi zilitoka mwaka Jana nafasi ya Auditor kutoka ofisi ya CAG.Nafasi zilikua hazizidi 10 lkn waliitwa watu Kama elfu 8 hivi.Daah Mungu atusaidie kaka, TTCL post 15 watu walioitwa 700
Duuh 8k ni wengi sanaaWachache mno hao,yaani mnoooo.Kuna kazi zilitoka mwaka Jana nafasi ya Auditor kutoka ofisi ya CAG.Nafasi zilikua hazizidi 10 lkn waliitwa watu Kama elfu 8 hivi.
Utachagua kati ya ajira na ibada chenye uzito utakifanya kwa wakati huoHongera sana kwa waliochaguliwa na tunashukuru sana kwa uzi hii ila poleni sana Wale ndugu zetu tunaoabudu siku ya Jumamosi na Jumapili (kwa mfano Wasabato ) Jumamosi ya tarehe 14 na 15 Mei itakuwa ni siku za Ibada ya kumwabudu Mungu. Tunaomba Sekretarieti ya Ajira chombo cha Umma chenye heshima sana, tuendeleze tabia ya kujali mila na utamaduni wa nchi yetu wa kwa kuhsehimu siku za ibada kwenye ratiba zenu. Usaili kupangwa siku za Weekend ni mbaya sana, inanyima haki wale ambao wanatumia siku hizo kama siku za Ibada.
Tuwaache watu waendele na Ibada na Usaili ufanyike siku za kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Utachagua kati ya ajira na ibada chenye uzito utakifanya kwa wakati huo
Kuna watu walimchallenge Yesu kwanini kamponya mtu siku ya Sabato, huenda Mungu anafanya muujiza wako siku hiyo punguza complain....vipi na Ijumaa watu wasemeje sasa?Hongera sana kwa waliochaguliwa na tunashukuru sana kwa uzi hii ila poleni sana Wale ndugu zetu tunaoabudu siku ya Jumamosi na Jumapili (kwa mfano Wasabato ) Jumamosi ya tarehe 14 na 15 Mei itakuwa ni siku za Ibada ya kumwabudu Mungu. Tunaomba Sekretarieti ya Ajira chombo cha Umma chenye heshima sana, tuendeleze tabia ya kujali mila na utamaduni wa nchi yetu wa kwa kuhsehimu siku za ibada kwenye ratiba zenu. Usaili kupangwa siku za Weekend ni mbaya sana, inanyima haki wale ambao wanatumia siku hizo kama siku za Ibada.
Tuwaache watu waendele na Ibada na Usaili ufanyike siku za kazi.
hhahhahahYaani ukitoka kwenye usaili unatafuta mganga huko Kondoa ukapigwe chale