Parachichi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2008
- 510
- 102
ungewapiga fiksi tuu!kwani wangejuaje kama unawaingiza kichaka?unawaingiza chaka mbaya!ningekua mm wangekoma!nawapitisha chaka tuu!
umeona enhee?! tena walinikera sana walipofikia hatua ya kutoa tea na lunch!!! yaani ni kama giving out information in exchange na misosi yao! Tena itabidi nimuulie vizuri yule mwana, manake kama sikosei nakumbuka aliniambia walipotoka pale kila mmoja alilamba 15,000/=!!! nakumbuka aliniambia ki2 kama hicho lakini i didn't concetrate! So, kama ndivyo, ni interview gani hiyo ya kutoa hadi sitting allowance?! TZ; sitting allowance wakati wa interview?!!
Dah pole sana, njia nzuri ya kukwepa hayo maswali ni kusema mkataba wangu wa kazi hauruhusu kutoa data hizo hapo unawatupia mpira.
Mkuu, usiniambie hata katika maisha ya kawaida huwezi juwa mtu anayekuchimba! Wale jamaa hawakuwa na cha kazi wala nini, walikuwa na lengo la kuangalia strengths na weakness za competitors wao! by the way ukisema AM NO BODY, utakuwa unakosea sana ingawaje hilo ndio tatizo letu wabongo!!! my spirit ni kwamba, whenever i work, i take the company as mine no matter wht! Lakini unasema am no body to judge someone, wakati mwenyewe unanijaji kwamba am no body!!! wht nikikuambia the company i was working is our family company but i'd to look for other opportunities(puting into consideration mambo kama ya opportunity costs)?!