inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Sheria ngowi mbunifu kitambo,kabla hata hao watoto hawajaanza kunyoaSasa baada ya hili kujulikana, Sheria Ngowi hatapata tena ile heshima aliyokuwa anapewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ngowi mbunifu kitambo,kabla hata hao watoto hawajaanza kunyoaSasa baada ya hili kujulikana, Sheria Ngowi hatapata tena ile heshima aliyokuwa anapewa
Sasa baada ya hili kujulikana, Sheria Ngowi hatapata tena ile heshima aliyokuwa anapewa
Najua sana, ila alibase katika mavazi ya akina mamaSheria ngowi mbunifu kitambo,kabla hata hao watoto hawajaanza kunyoa
Si kweli,hata wale wabunifu machoko wa kihindi hawakubase kwenye mavazi ya akina mama tuNajua sana, ila alibase katika mavazi ya akina mama
Kwamba ikijulikana kwamba kumbe Sheria Ngowi ana wafanyakazi heshima itapungua😅.Sasa baada ya hili kujulikana, Sheria Ngowi hatapata tena ile heshima aliyokuwa anapewa
Hata wanaofanya usafi ni wafanyakazi wake. Basi abaki nao hao uone jezi zitakazotoka 😂😂😂Kwamba ikijulikana kwamba kumbe Sheria Ngowi ana wafanyakazi heshima itapungua😅.
Hizi ni akili za kifukara sana.Hata wanaofanya usafi ni wafanyakazi wake. Basi abaki nao hao uone jezi zitakazotoka 😂😂😂
mzee is a fool. Look at his comments.Acha basi kumtukana mwenzio....kiingereza chenyewe hujui lakini unataka kutoboa chupi na mayowe humu.
Neno 'stop' halijatumika Sawa Sawa..
it's was creative difference,sheria ngowi kuwa mbunifu haimaanishi ya kwamba idea zote zinatoka kichwani mwake, na yeye ana think tanks wake. Usifikiri products zote za microsoft ni idea za Bill Gates. Hata ivyo iyo kampuni ikiyobuni jezi za simba ni kampuni binafsi kwaiyo hata Sheria Ngowi anaweza kuwapa tenda labda kama waliachana kwa ubaya.
Huyu ni miongoni mwa mafala wanaojitia kujua Kila kitu kuhusu Simba na Yanga wakati ni Mbumbumbu wahedi. Yupo mwenzie anajiita 1979 wanashea Uzuzu.Kingereza hakikupendi.
Those designers of Young Africans' jersey who worked with Sheri Ngowi and left the company created their own company, leaving Ngowi lost and GSM losing millions of money in advertising. Additionally, they failed to create a new jersey that could have sold a lot in South Africa and Europe. As of today, GSM is still going to lose money.
Kaizer vs Yanga full house and still no new jerseys. he will lose more money
View: https://m.youtube.com/watch?v=-yEvPufL29M