Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Kazi ipo hii ishu asipokuwa nayo makini anachafua BRAND yake
aisee tusubirivituko ndio vimemfanya diamond awe brand... sio sababu ya music....
so atazidi kuipandisha brand yake juuu hiyo kesho
kabisa mkuu .hao mameneja wake waswahili sana. hawajui ubunifu wanataka kumchuna zari tuKazi ipo hii ishu asipokuwa nayo makini anachafua BRAND yake
basi subiri uone.vituko ndio vimemfanya diamond awe brand... sio sababu ya music....
so atazidi kuipandisha brand yake juuu hiyo kesho
wanakosea sana aiseekabisa mkuu .hao mameneja wake waswahili sana. hawajui ubunifu wanataka kumchuna zari tu
ndo wataifanya live keshoSijaelewa Interview ya diamond inawahusu vipi clouds
zari anawasponsor sana wasafi hawataki aachikewanakosea sana aisee
ndio maanazari anawasponsor sana wasafi hawataki aachike
Brand haiwezi chafuka maana hapo ndio anazidi ku trend....Kazi ipo hii ishu asipokuwa nayo makini anachafua BRAND yake
AiseeBrand haiwezi chafuka maana hapo ndio anazidi ku trend....
Hakika Diamond ni bingwa wa biashara.....