Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Simpendagi ommy but leo kaongea vizuri sana yani sikutarajia angeweza kujibu vizuri vile sasa mtaa wa pili walijiandaa kumshambulia walidhani atajibu kimipasho kama boss wao anavyoongea
Kama vile umesikia jambazi kauawa alafu ukatoka na maneno ya shombo yakikutoka khanga kiunoni, kufika unakuta ni mumeo. Vile litavyokushuka ndio hii ilotokea hapa.
 
Kama vile umesikia jambazi kauawa alafu ukatoka na maneno ya shombo yakikutoka khanga kiunoni, kufika unakuta ni mumeo. Vile litavyokushuka ndio hii ilotokea hapa.
Yani leo wafuasi wake walikuwa wapo tayari kumponda ila kilichotokea naona mb zao watamalizia kuangalia lile liwimbo lao sijui vitu gani.....
 
Yani anazidi kujionyesha jinsi gani alivyo hana akili ili nimefurahi wanaoendelea kumponda. Yani ana majungu sana huyu mvulana
From Tandale to Madale then[emoji574] [emoji574] [emoji574] to SA sio mchezo..

Ulishapitaga maeneo ya Tandale? mi mwenzio nazururuga mitaa hiyo ni noma asee!

Yaani kule sio uswahilini bali ni ushenzini tena wa mwendokasi!
 
From Tandale to Madale then[emoji574] [emoji574] [emoji574] to SA sio mchezo..

Ulishapitaga maeneo ya Tandale? mi mwenzio nazururuga mitaa hiyo ni noma asee!

Yaani kule sio uswahilini bali ni ushenzini tena wa mwendokasi!
Point yako hapa ni nini? Hebu tulia halafu urudi tena labda nitakuelewa
 
Umenena!

Jokate amfundishe kutema yai tu....maana Kiba akitokaga nje ya Tz ni majanga tu!

Sio kwa broken lile?!?[emoji85] [emoji85]
Ndio anajifunza hivyo, au unadhni lugha mtu anajifunzaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…