KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
wew ndo utakuwa huna akili kwa kutekwa na maneno ya Ommy moja kwa moja. Iv huwez kujiuliza kwanin Mondi alianza kujitenga na Ommy. Na je,wew ukigundua rafk yako wa karibu ni snitch utaendelea tu kumdekeza eti kisa uonekane na utu. Akikusaliti ukajua amekusaliti utaendelea tu kuendelea naye. Kwanza yawezekana Mondi amemsitiri sana jamaa endapo angeongea yote yaliyomfanya ajitenge na Ommy taratibu pengne Angeonekana mbaya zaidWaga nakubali sana miziki ya dai
Lkn kumbe hana akili huyu jamaa
Masabiki tunaanza kumuhama
Ivi anawabania kivipi kwani ye anazipataje izo connection. Kwanza kwa ukubwa wa Ommy mpk kachukua tuzo za kimataifa bdo tu alitaka aendelee kutafutiwa. Kwann asitafute izo connection mwenyew. Mi nnchokiona Ommy ameamua kuongea vile kutafuta huruma kwa jamii na kaondok na kijij kwel kwa watu wanaoamin kila wanachokisikiaNilimsikiliza pia... nikajua kuwa dimond aliongea kwa jaziba alipanic na alikuwa anaongea kuonyesha anajua zaidi.
Ommy ameongelea zaidi kuharibika kwa mahusiano na kiasi gani inamuuma.
Kwa upande mwingine anaongea logic... yaani kama ni hasabu kafanya na kaonyesha njia na jibu kapatia.
Dimond ni capitalist flani hivi. Atakusogelea kama anainterest na wewe na azidi kufanikiwa na akiona wewe ni challenge anakufanyia u-isis asee connection akuzibia alafu anakuja kusema anataka tufike mbali zaidi kimziki hahahha.
Dimond sikunyingine sema nifike mbali kimziki sio tufike mbali kimziki huku unawabania wengine waliopo chini ako.
Sio cha kushangaza... kwani inathibitisha kwa viumbe vingine, unaweza kumkwea mama tu kama kuku wanavyofanya... hizi taratibu za do nd dnt tumeziweka wenyewe.Kumlala mama yako sio cha kushangaza!!!!
Ila ushoga ni kwa mfanyaji na mfanywaji... wote ni wale wale... kama rushwa tu.Atashindwaje kua mstaarabu wakat mond kamwaga mboga angetokwa povu tu angeanikwa kweupeeee na bado ndio dawa ya waropokaji nani alimuanza mwenzie izo sympathy zako kwenye interview hazitabadilisha ukweli wa upunga mrs mwarabu ommy msambwanda leo ndo umeshika adabu eeh siulijifanya kujitoa akili kumdiss mond unabahat umejishusha tungeanika kila kitu ebooo moto umewasha mwenyewe na unakuunguza tungemwaga mpaka audio zako unabahati haya kampikie mwarabu huko
Watu wajiulize kwanza kwa nini AY alimuondoa Ommy kwenye lebo yake. AY ndo amewatoa wasanii wote kwenye connection za nje ya nchi lakini shangaa Chibu amekomaa na Ommy analalama. Angekuwa hana tatizo basi AY angemuachia connection za kutosha.wew ndo utakuwa huna akili kwa kutekwa na maneno ya Ommy moja kwa moja. Iv huwez kujiuliza kwanin Mondi alianza kujitenga na Ommy. Na je,wew ukigundua rafk yako wa karibu ni snitch utaendelea tu kumdekeza eti kisa uonekane na utu. Akikusaliti ukajua amekusaliti utaendelea tu kuendelea naye. Kwanza yawezekana Mondi amemsitiri sana jamaa endapo angeongea yote yaliyomfanya ajitenge na Ommy taratibu pengne Angeonekana mbaya zaid
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Japokuwa sijasikiliza hayo mahojiano, lakini naona wetu wengi humu wanatoa Pongezi kwa Ommy Dimpo kwa kuweza kuonyesha Ukomavu, Busara na Utulivu katika mahojiano hayo. Nami naungana kumpa Pongezi Ommy Dimpoz.
Watu wengine wajifunze pia namna ya kuongea na vyombo vya habari, hususani wakina Makonda, Sizonje, Ole Sendeka nk.
dimpo hayupo vizur na diamond hata kabla hayupo karibu na kiba.Povu litoke wapi wakati amekamatwa kila mahali,Dimpoz alichochemsha ni kujiunga na Ally Kiba kumponda Diamond public
Mondi ana shida zakedimpo hayupo vizur na diamond hata kabla hayupo karibu na kiba.
Hayuko na busara kihivyo huyo kijana, ni uoga ni uoga wa kuendeleza vita na mtu mswahili anayeweza akaongea shombo nyingi kuliko hyo siri aliyoifichua ya kukataa kumpumlia Omary ilihali Ommy hakuwahi amini jamaa yake angetoboa siri,ila namsifu kwa kujirudisha chini kwani ni busara sana.Sikuwahi kujua kuwa Ommy ana busara hivi.