Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

Najua bwana Sallam mzee wa kupanic atakuwa ame mponza

Kaitika kitu diamond anatakiwa ajifunze kwa Ali Kiba ni kunyamaza na kuto jibizana na kila mtu na kuto kujibu kila tetesi.
Kwa kweli leo nimeudhika sana na kiki alo pata Ommy.
Halafu kwanin mondi akitoa ngoma lazima isindikizwe na mipasho
ina maana jamaa game lake linategemea skendo kutoboa yaani hawezi kabisa kutoa ngoma akakaa kimya
 
[emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tatizo lenu mmeumbuka[emoji23]
mlijua ommy ataponda ili mumtukane so mmlikua mmeshannua condom unampiia simu demu hapatikani
54339728a3cc0c42bd7b344bbc4ff1f9.jpg
 
Halafu kwanin mondi akitoa ngoma lazima isindikizwe na mipasho
ina maana jamaa game lake linategemea skendo kutoboa yaani hawezi kabisa kutoa ngoma akakaa kimya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aah! Mi nilikuwa najua ni vibwagizo tuu lakini kwa hili tukio
Leo ngoja nikae chini nimtafakari huyu jamaa ana shida gani.
Na huwa ana lenga nini!
 
kumbe ommy ana akili zake timamu nadhani sababu ya kukaa na watu wenye busara na maono ya mbali kama AY,sasa huyu ndugu yetu anashinda na kaka zake raisi wa manzese wao wanawaza majungu tu ndomana kuna show walipigwa makopo..!!kinacho mwangusha bwana D ni ile crew ya mameneja ilio mzunguka
 
Huyo Salaam mswahili yule ana usafi gani?
Bora mkubwa Fella yeye ni kazikazi,maneno maneno hataki.

Madam uswahili kila mtu anao tunatofautiana kipimo tuuu...ila hakitoshi kuwa kielelezo sahihi cha kumpa Sallam lawama kwa mambo binafsi ya Diamond
 
Ommy Dimpoz alianza kuwa mbali na Diamond baada ya kuamua kuwa karibu sana na Ali Kiba.

Kuna uwezekano akapotea kabisa katika game kutokana na kujiingiza katika upande wa teams.

Mtu mwingine ambaye yupo katika hati hati ni Baraka da Prince.

Ngoja tuone
 
Iv mavoko hakujiuliza kwanini sheta hakujieka chini ya mond mpaka nae kizembe tena na uwezo ule ukiomtisha uyo mond alafu kwenda kujieka chini yake? Mavoko kama ni ivo bas kaenda kupoteza utamu na maneno yake kuntu kama ile roho yangu mambo ya mchuzi wa pweza na huku pacha wangu mrithi wa bibi!. Dah mond Ovyo sana!.
 
Back
Top Bottom