Mpaka wamalize kuwasort watoto wooooote wa vigogo walioomba kisha zibaki hizo nafasi nane (8) zigombaniwe na nyie kajambanani ambao za ndaaaaaani kabisa zinadai mpo elfu kumi na nane 18,000 onlyNasikia wameongeza siku hadi August
aiseeNasikia wameongeza siku hadi August
hahahahahahah jamanMpaka wamalize kuwasort watoto wooooote wa vigogo walioomba kisha zibaki hizo nafasi nane (8) zigombaniwe na nyie kajambanani ambao za ndaaaaaani kabisa zinadai mpo elfu kumi na nane 18,000 only
sawa mkuu ila kuna zingine huwa zinapita kimya kimya au unaskia zilishapita so kuuliza muhimu hata hivyo hata km huna uhakika ni vuzuri kujua ipo au haipo instead of kusbr tuu!Si mtaitwa tu una haraka je unauwakika wa kupata iyo kazi
Sawa bhna ila mtaitwasawa mkuu ila kuna zingine huwa zinapita kimya kimya au unaskia zilishapita so kuuliza muhimu hata hivyo hata km huna uhakika ni vuzuri kujua ipo au haipo instead of kusbr tuu!
khee unatoa wapi connection ndugu yanguTafuta connection kama uwezo unao ,
kuna kunakikosi chini ya karpet kinaendelea kupangwa .
Kabisa mkuu nchi ngumu hii.sawa mkuu ila kuna zingine huwa zinapita kimya kimya au unaskia zilishapita so kuuliza muhimu hata hivyo hata km huna uhakika ni vuzuri kujua ipo au haipo instead of kusbr tuu!
Hamna kazi hapoooWadau interview ya TRA lini? kwa tangazo la ajira lililotanganzwa June 2023😡
kwanin boss
august ndo hii na bila bila kuna mdau alisema hamna kituNasikia wameongeza siku hadi August
nasikia washaitwa za ndan
nasikia washaitwa za ndan