Interview za Utumishi na barua kutoka Kwa serikali ya mtaa

Interview za Utumishi na barua kutoka Kwa serikali ya mtaa

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,155
Reaction score
1,209
Hello,

Naomba msaada Kwa wenye experience na interview, ntakuwa na interview next week, ila nimeambiwa kuwa lazima uwe na kitamburisho Kwa utambuzi.

Nida namba ninayo ila sijapata kitamburisho, kadi ya mpiga kura ninayo ila walikosea jina. Badala ya kuandika JACKSON waliandika JACKSONI.

hapa Nina kitambulisho Cha NSSF.

Vipi nkienda na barua kutoka serikali ya mtaa inakubaliwa? Kama haikubaliwi nifanyeje ?

Wazoefu ushauri wenu

NB vyeti vyangu VYOTE viko sawa
 
Wasomi njooni kumsaidia msomi mwenzenu please.

KAZI ni kipimo cha UTU
 
Nenda kwa wakili au mahakamani waku andike affidavit of names
 
Hello,

Naomba msaada Kwa wenye experience na interview, ntakuwa na interview next week, ila nimeambiwa kuwa lazima uwe na kitamburisho Kwa utambuzi...
Nenda na barua wanakubali.

Nje na Nida na Mpiga kura,
Huwezi kuingia na hivyo vya nssf
 
S
Nenda na barua wanakubali.

Nje na Nida na Mpiga kura,
Huwezi kuingia na hivyo vya nssf
Shukrani, nimesoma tangazo la Tanapa, waliruhusu,Nida,Cha mpiga kura, kitamburisho Cha kazi au lesseni
 
Hello,

Naomba msaada Kwa wenye experience na interview, ntakuwa na interview next week, ila nimeambiwa kuwa lazima uwe na kitamburisho Kwa utambuzi.

Nida namba ninayo ila sijapata kitamburisho, kadi ya mpiga kura ninayo ila walikosea jina. Badala ya kuandika JACKSON waliandika JACKSONI.

hapa Nina kitambulisho Cha NSSF.

Vipi nkienda na barua kutoka serikali ya mtaa inakubaliwa? Kama haikubaliwi nifanyeje ?

Wazoefu ushauri wenu

NB vyeti vyangu VYOTE viko sawa
Unaweza kutumia vitambulusho vifuatavyo.
Barua ya serikali za mtaa(introductory letter)
Kitambulusho cha Taifa(Nida)
Kitambulisho cha mpiga kura(Voter id)
Hati ya kusafiria(passport)
Leseni ya udereva(driving license)

Kama huna hata kimoja kati ya hivyo basi hata usipoteze nauli yako kwenda kwenye usaili ..utumishi hawana mzaa
 
Unaweza kutumia vitambulusho vifuatavyo.
Barua ya serikali za mtaa(introductory letter)
Kitambulusho cha Taifa(Nida)
Kitambulisho cha mpiga kura(Voter id)
Hati ya kusafiria(passport)
Leseni ya udereva(driving license)

Kama huna hata kimoja kati ya hivyo basi hata usipoteze nauli yako kwenda kwenye usaili ..utumishi hawana mzaa
Alright mkuu barua kutoka serikali ya mtaa mtu hawezi kosa
 
Kuna mshkaji alienda na namba ya nida hata hawakumfikiria
Anyway kwa kitambulisho Cha mpigakura haina shida utapita tu hiyo typing error ya jina utapita tu
Ukizuiliwa mstari huu unarudi mstari mwingine sio pote watakuzigua uelewa wa wakaguzi uko tofauti
 
Back
Top Bottom