Chombo ya maanaHizi stunt sio za kawaida.
Nimewakumbuka wale wazee wa reliability.
Ngoja maskini waje waanze kukwambia hayo magari mabovu kabisa,wakati matajiri washa pre-order!Hizi stunt sio za kawaida.
Nimewakumbuka wale wazee wa reliability.
Pesa inaishia "sheli"Chombo ya maana
Hizi hela tuzisake tu
Mkuu najua wewe ni mjapenga kindakindaki[emoji28][emoji28][emoji28] yale maumivu ya air suspension hutaki tena kuyasikia..Duh sijui kwanini Boris hakuona hizi range Rover zenye state of art tech akaenda kuhangaika na ma land cruiser 'magari ya kinyonge ' hayana hata tech ya maana[emoji1][emoji1][emoji1]View attachment 2221129
Hahah naaam mkuu na hayo ndio matumizi sahihi kabisa ya Range πππππ.Mkuu najua wewe ni mjapenga kindakindaki[emoji28][emoji28][emoji28] yale maumivu ya air suspension hutaki tena kuyasikia..
Chukua chuma hiyo utakuwa unaenda kusaini contract halafu field unazama na 70 series!!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Zitafikia kununua hiki chuma kweli?Chombo ya maana
Hizi hela tuzisake tu
Limepiga tope lakini limetoka safi, hili gari balaa....[emoji16]
All luxury cars are expensive to own and operate.Usichukuliwe kirahisi hivyo na matangazo. In real life vitu vinaweza kuwa tofauti kidogo. Generally Land Rover (hasa hizi range na disco) ni expensive sana kuzihudumia na si mojawapo ya magari ambayo unaweza ukayatumia kama wanavyotangaza hapa kila siku, unless uwe na hela nyingi ya kufanya repairs. LR Defender za zamani pekee ndizo unaweza kuzipiga hivi kila siku.
Hizo air suspension zenyewe tu ukizipiga kwenye barabara zetu hizi vizuri hazikawiagi kusumbua.
Overall ni gari luxury ilaβ¦.
Hawa nao wavivu, mbona Kipanya anafyatua mapema tuAisee hii mashine ni sayari nyingine ebu fikiria hiyo technology iliyotumika ya dynamic air suspension yaani inabalance gari hata kama utakunja Kwa speed kubwa bado zitatanuka upande mmoja na kubalance iwe lever moja na suspension za upande WA pili...
Kuanzia music ndani ndiyo balaa gari ina speaker 29 za kuchuja muziki hakika hapa wanastahili pongezi Kwa kuwekeza kwenye hii gari Kwa kipindi cha miaka 5
Wazungu watabakia kuwa wazungu to
Sio kuwa ni mabaya watasema huzikwi naloNgoja maskini waje waanze kukwambia hayo magari mabovu kabisa,wakati matajiri washa pre-order!