ha ha ha poleSijui ni nini hiki ila kila mda thoughts zinakuja eti simba ameshinda kuingia nusu. Wametoka 1-0 then matuta akashinda ayoub katoa mikwaju miwili.....
Huu mpira addictive sana! #nguvu_moja
Inaonekana swaumu ya leo kali.Sijui ni nini hiki ila kila mda thoughts zinakuja eti simba ameshinda kuingia nusu. Wametoka 1-0 then matuta akashinda ayoub katoa mikwaju miwili.....
Huu mpira addictive sana! #nguvu_moja
Asante mtani 🤙Utopolo kindakindaki naunga MKONYO hoja kuwa Makolokolo anaingia nusu fainali CAFCL 2024 [emoji1666]
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nitakumulika hata kwa simu yangu Philips ya mkonga ili tuchekane vizuri Utopolo na Makolokolo baada ya kupagtiwa haki zao [emoji1787]Kesho sitakuwepo hewani tutakutana Jmos saa nne asubui...
Yani hutaniona humu ng'ooooooNitakumulika hata kwa simu yangu Philips ya mkonga ili tuchekane vizuri Utopolo na Makolokolo baada ya kupagtiwa haki zao [emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
AMKA SASA UTAKOJOA KITANDANI.Sijui ni nini hiki ila kila mda thoughts zinakuja eti simba ameshinda kuingia nusu. Wametoka 1-0 then matuta akashinda ayoub katoa mikwaju miwili.....
Huu mpira addictive sana! #nguvu_moja