Invest Please

Joined
Feb 16, 2014
Posts
67
Reaction score
31
kama akili ingekua hela basi ningekua millionaire..!katika akili yangu nina idea nyingi za biashara tena nzuri,ila tatzo ni capital..kila ninakoenda kupata msaada they either want money ama ngono..nimechoka hii kitu coz imekua ngumu sana...so i call upon nyie watu ambao mpo financially capable please invest in this brain of mine..you wnt regret.!
 
What justify that your brain and biz ideas are financially viable ... elaborate ... proove, justify
 

Tiririka hizo ideas japo kwa kifupi au tupe ushahidi wa integrity yako na viability your ideas otherwise mtu hawezi kukurupuka.Binafsi nina capital kidogo Mungu kanijalia ila sina idea wala uzoefu so ni PM kunipa idea zako tunaweza kufanya kitu
 
Kila kitu kilichopo duniani kilitokana na idea ya mtu fulani.electricity,magari,ndege etc.watu hao wenye idea waliaminj na kuto kata tamaa kuhusu idea hizo.kama idea zako ni viable,keep on.utapata tu namna ya kuziweka halisi.mtaji sio tatizo really!If you search you will find
 
Tiririka hizo ideas japo kwa kifupi au tupe ushahidi wa integrity yako na viability your ideas otherwise mtu hawezi kukurupuka.Binafsi nina capital kidogo Mungu kanijalia ila sina idea wala uzoefu so ni PM kunipa idea zako tunaweza kufanya kitu

hilo ndo tatzo la ideas..unaweza kumtajia mtu akakusikiliza na kulifanya mwenywe apo unabaki kushangaa.!
 

sijakataa tamaa thats for sure..thy say.!vitu vizuri ni vigumu kupata.!capital ni shida hasa kama kipato kidogo na jambo lenywe linahitaji hela kubwa
 
hilo ndo tatzo la ideas..unaweza kumtajia mtu akakusikiliza na kulifanya mwenywe apo unabaki kushangaa.!

Hahahahahaaa ndio maana hataki kuziweka humu jamvini lakini pia utapataje investors kama hutowaambia idea yako? Ni changamoto ila ni vile tu sisi waafrika hatuheshimu ubunifu wa mtu na ni wa binafsi.kuna kipindi British council walikuwa na program ya kuwakutanisha watu wenye business ideas pamoja na wajasiriamali wakubwa ili waweze kuinvest ila mwisho wa siku program ilikufa sababu hao wajasiriamali wenye hela walikuwa wana implement hizo ideas bila kuwashirikisha waliozitoa
 

kuna kimoja nimekisajili katika sehemu husika coz kinadeal na entertainment..so sioni vibaya kukisema japo najua nchi yetu sheria ni zero
 
Na kama kweli wewe ni kichwa kstika kubuni idea mbalimbali , sioni kosa hata kidogo kutaja japokuwa tatu tu , then utapata watu wanaweza kuinvest katik hio brain yako
Woga ndo mshilikina number moja wa kuzuia maendeleo ya mwanadamu
 

Mkuu mbona hiyo ni kwa kila mtu kuwa na Idea? na hakuna mtu atakaye kusifia kwa kuwa na idea nzuri ila utasifiwa pale utakapo practice, Entrepreneship is all about practise, na sio kuwa na idea, kuna watu hadi hufa na idea zao vichwani.

Kinacho takiwa ni kwa wewe ku practise hizo idea for any means, anza na kile ulicho nacho hata vitani watu wengine hubeba bunduki na wenginu hubeba fimbo tu, hivyo unatakiwa kuweka katika practical hizo idea zako na si kusema unazo nyingi, kuwa na idea hata kama zingekuwa 100 sio ishu ishu ni kupractise hizo idea
 
Na kama kweli wewe ni kichwa kstika kubuni idea mbalimbali , sioni kosa hata kidogo kutaja japokuwa tatu tu , then utapata watu wanaweza kuinvest katik hio brain yako
Woga ndo mshilikina number moja wa kuzuia maendeleo ya mwanadamu

Mkuu idea za biashara si ishu ishu ni practise mbona waga ziko openi? tembelea mitandao inayo conduct mashindano ya kuandika business proposal utakuta kuna idea za kufa mtu na ziko open kila mtu anasoma, watu huwa tunazani ukitangaza idea zako ndo watu watazichukua, kuna tecnical isues katika idea ambapo wewe mwanzilishi ndo pekee unaye zijua. Chukulia mfano ndege za kijeshi, huwa kayika ndege za kijeshi kuna feature chache sana zinazofichwa ambapo ni nchi watengenezaji tu ndo huwa wanazijua.
 

​well said no need to say more
 
Imagine Benki zingekuwa zinatoa mikopo kwa wenye ideas?

Si benki zote zingekuwa zimefilisika?

Leo ukitangaza watu wenye Idea waje kuna milioni 100 watakuja watu 10,000

Tatizo sio mawazo you have to prove kwanza.
 
Imagine Benki zingekuwa zinatoa mikopo kwa wenye ideas?

Si benki zote zingekuwa zimefilisika?

Leo ukitangaza watu wenye Idea waje kuna milioni 100 watakuja watu 10,000

Tatizo sio mawazo you have to prove kwanza.

Every idea displayed in public is millions lost.!kwa yule ambae anajua yupo financially capable with a few millions to make hundred anipm.!ushauri wenu mzuri sana..ila no matter what siwezi display idea zangu hapa.!
 
Every idea displayed in public is millions lost.!kwa yule ambae anajua yupo financially capable with a few millions to make hundred anipm.!ushauri wenu mzuri sana..ila no matter what siwezi display idea zangu hapa.!

Your missing the point my sister!

Sijasema ulete ideas zako hapa.

Chasha na mimi tumesema anza ku practice watu waone kwanza sio ideas zipo kichwani utegemee watu wakupe sheque milioni 100.

Hakunaga my dear
 
Your missing the point my sister!

Sijasema ulete ideas zako hapa.

Chasha na mimi tumesema anza ku practice watu waone kwanza sio ideas zipo kichwani utegemee watu wakupe sheque milioni 100.

Hakunaga my dear

Ungesoma post vizuri ungeelewa..i said nilianza na kuandika proposal nikapeleka katika kampuni tofauti..ila kwasababu one of idea ipo kwenye entertainment industry wakawa wanataka hela tufanye demo..which is hard coz inahitaji hela...kama ungekua unanijua ndo ungeelewa how much effort nimeweka into my idea
 
The best thing you can do is to PM me.....and you wont regret..c.c kabintispecial
 
Every idea displayed in public is millions lost.!kwa yule ambae anajua yupo financially capable with a few millions to make hundred anipm.!ushauri wenu mzuri sana..ila no matter what siwezi display idea zangu hapa.!


Wewe tafuta mtandao wa Bidnetwork, huko kuna Proposal na idea za kufa mtu, na kama vipi nitakuwekea na mitandao mingine inayo endesha mashindano ya michanganuo ya biashara uone, idea ziko wazi public
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…