kabintispecial
Member
- Feb 16, 2014
- 67
- 31
kama akili ingekua hela basi ningekua millionaire..!katika akili yangu nina idea nyingi za biashara tena nzuri,ila tatzo ni capital..kila ninakoenda kupata msaada they either want money ama ngono..nimechoka hii kitu coz imekua ngumu sana...so i call upon nyie watu ambao mpo financially capable please invest in this brain of mine..you wnt regret.!