Wametangaza?Haya wale wenye connection fursa hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametangaza?Haya wale wenye connection fursa hizo
Kwa mwaka huu kutakuwa na nafasi kutoka kwa pccb kwel?Wametangaza?
Mmmh sidhani maana hakuna dalili ya upepo kuvumaKwa mwaka huu kutakuwa na nafasi kutoka kwa pccb kwel?
Mwaka huu naona kimya huenda hawakupata kibali Cha kuajiriMmmh sidhani maana hakuna dalili ya upepo kuvuma
Upepo umegomaMmmh sidhani maana hakuna dalili ya upepo kuvuma
Kwa hiyo hizi nafasi wajomba na mashangazi hawatakiwi
Au huwenda wakatoa mkuuMwaka huu naona kimya huenda hawakupata kibali Cha kuajiri
Ni kweli kabisa miezi yao hiiAu huwenda wakatoa mkuu
Hapa jibu lipo = 50,50
Below 30 yrsNafasi gani mkuu wajomba na mashangazi hawatakiwi
Amekariri.Kuna iko kigezo?
Ni kweli mkuu,Below 30 yrs
Wanaweza tumia waliopo database kwanzaKwa mwaka huu kutakuwa na nafasi kutoka kwa pccb kwel?
Wanaweza tumia waliopo database kwanza